Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So you think you are the first African to ever set foot in America?
That was not the question…stop dodging !..and America 🇺🇸 is a huge country, so stick to the state of Arizona ( which still confuses me why a whole state is comparable to a poor city like Dodoma…)… lots of ignorance there…just pick a city in the copper state ( AZ)… Phoenix, Tucson , Glendale , Chandler etc … then let’s compare a city with your Dodoma….. and before you rant , Copper state is another name for Arizona 😄
 
That was not the question…stop dodging !..and America 🇺🇸 is a huge country, so stick to the state of Arizona ( which still confuses me why a whole state is comparable to a poor city like Dodoma…)… lots of ignorance there…just pick a city in the copper state ( AZ)… Phoenix, Tucson , Glendale , Chandler etc … then let’s compare a city with your Dodoma..
You are laughable😎
 
1 hour pengine utembee kwa miguu, lakini ukitumia gari basi haipiti dakika 15. Kubali mmepigwa 😂😂
mpuuzi wewe kuna dem alikua analalamika anasema nairobi termal iko mbali over 16km na mjini na inaongeza cost juu yake wakat SGR terminal zote za tanzania ziko ndani ya miji kabisa😂😂😂😂

alaf mukiambiwa Mtu anaepanda bus na SGR hakuna tofaut munakata mauno yenu hapa
 
Tofauti huku wanatekwa halafu citizens speak up na wanaachiliwa. Huko kwenu hata hamjui kinachooendelea. Wanaweza tekwa maelfu na hata hamtojua. Ukijaribu kuongelea pia wee unatekwa. Na ukitekwa probability ya kupatikana ni zero. 😂 😂

Kuna ka Nchi cha jirani kimeteka hadi vice president wao. Na makofi akapigwa.

Hahaha where is the last time you see the Prof.!?
 
Kwani wewe hujui Kama Dom bado inajengwa? Mara ngapi tume share picha za Dom humu na mkakosa mpaka amani, zipo picha za Dom zina vibe la Alaska kabisa na mnaijua vzr, ulitaka kila Kona kuwe na lami wakati mji wenu mkuu hauna lami ndani ya CBD, wacha wivu.
Barabara gani ya vumbi ina km 10 kwenda kwenye station ya SGR Dodoma ni ipi hiyo! 😂😂😂
Station ya Dodoma si ipo barabarani/ Iringa road au!
Huyo balozi kamaanisha station ya Morogoro.
 
Barabara gani ya vumbi ina km 10 kwenda kwenye station ya SGR Dodoma ni ipi hiyo! 😂😂😂
Station ya Dodoma si ipo barabarani/ Iringa road au!
Huyo balozi kamaanisha station ya Morogoro.
Kwa hivo ikiwa ya Morogoro ni sawa ama unajaribu kusema Nini?🤣
 
Kwa hivo ikiwa ya Morogoro ni sawa ama unajaribu kusema Nini?🤣
Unavyo potosha kwa kusema ni Dodoma ni sawa?
Niliona upotoshaji wako jana nikataka kujibu nikakumbuka huwa sina tabia ya kujibu wakumbaf ila kwa sababu umeshoboka unataka kupigwa mpini imebidi nijibu.
Hizo 10km ziko wapi hapa!
IMG_1255.jpeg
 
Back
Top Bottom