Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwamba kujenga international airport sio achievement.? Lakini kujenga gorofa mbili tatu za makazi ni achievements.? Au me ndio sijakuelewa.?
Ghorofa mbili Ambazo zitajaa ni achievement kubwa kuliko kujenga airport ambayo itakuwa tembo mweupe. Unafikiri hiyo msalaba airport itafaulu mahali JNIA ilishindwa.
 
Ghorofa mbili Ambazo zitajaa ni achievement kubwa kuliko kujenga airport ambayo itakuwa tembo mweupe. Unafikiri hiyo msalaba airport itafaulu mahali JNIA ilishindwa.
πŸ”¨πŸ”¨πŸ”₯πŸ”₯πŸ‘‡πŸ‘‡
Screenshot_20241229-205918.jpg


View: https://x.com/kafulila_david/status/1873425222004813824?t=Vf2qW4WMZkQ4ssBMjLuaSg&s=19
 
Hadzabs are some of our tourism attractions. They have never been exposed to anything concerning modern life style and foods. Sisi tunapiga pesa kwa kuendelea kuwa na jamii hii, wewe laza matacone tu. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huku kwetu wanyama ni tourist attraction alafu huko kwenu binadamu ndio tourist attraction. πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Shida ya hawa watu wanajiona wanaijua Tz kuliko waTz wenyewe kwa kusoma juu juu mitandaoni.
IamLee Dodoma kuwa capital city(gov) was Nyerere's dream lakini hata yeye hakuweza kutimiza hio ndoto. Akaja Mwinyi,Mkapa,K
JK none of them bothered. Then JPM came into power and decided to implement the idea. Na akatunga na sheria bungeni hamna kuhama au kusitisha kuhamia Dodoma ndio WAKAANZA kujenga GOVERNMENT CITY AKA MAGUFULI CITY huku serikali ikihamiiga taratibu. Sasa kama BV unaona Dodoma ni village tafuta youtube video ya Magufuli city uone halafu tuletee kitu kama hicho hapo Kenya.
Hatimae umekubali kwamba Hio plan ilzalishwa kwa enzi za Mwalimu Nyerere
(Ninayemheshimu sana) Ila nini ikafanyika? Hamna. Kwa hivo mlifeli kuyatekeleza yale mipango yalivyokuwa yamewekwa. In fact, the actual official moving of the capital was in the late 90’s. Na kuanzia hapo hamna cha maana likichofanyika mpaka enzi za JPM.
Which is my point exactly! β€œKusitisha”
Don’t be lazy in implementation of projects and expect us to respect and recognize them as achievements when you are eons behind schedule! Do not declare it a capital city if you are not able to implement it, and if you declare it, then build or else expect criticism.. your double standards are insane..
Read this again!
IMG_9468.jpeg
 
...Ila nini ikafanyika? Hamna. Kwa hivo mlifeli kuyatekeleza yale mipango yalivyokuwa yamewekwa. In fact, the actual official moving of the capital was in the late 90’s. Na kuanzia hapo hamna cha maana likichofanyika mpaka enzi za JPM.
Which is my point exactly! β€œKusitisha”
Don’t be lazy in implementation...
Haikuwezekana kuendelea na mpango baada ya vita na Uganda(Oct.1978-June 1979) ambapo uchumi wa Tz uliporomoka sana. Elewa hilo na usijisahaulishe tafadhali (ingawa nina hakika ulikuwa bado hujazaliwa)😁😁
 
Ni Rais mzuri ila changamoto ni ukabila na ujuaji, wanamtengenezea mazingira mabaya ya kuongoza.
hakuna rais pale mzee ni genge la wizi tu wanaojitwisha mali za umma kila kona wakisahau kuna kufa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

huyo ruto hvi sasa akichunguzwa mali alizonazo ni sawa kusema alizitafuta kwa miaka 300
 
Back
Top Bottom