Because they are psycho.How do psychologists do this? Mibongolala bana!
Because they are psycho.How do psychologists do this? Mibongolala bana!
JKIA landing kwenye mbuga/ forestHoly Moly!…the so called “New York” of Africa…😂😂… that view before landing….!… Bongo has a very long way to go … first time visitors must be wondering, where the hell is the pilot landing?….😂😂…. Now compare similar view for JKIA Nairobi…. It’s like night and day…
Huyu alipandikizwa kutibua deal la Amsons tuu hana chochote Dr Shika.![]()
Amsons’ Bamburi takeover bid rival faces Sh90bn fraud charges
Amsons’ bid faces competition from Savannah Clinker Limited, whose founder, Mr Benson Ndeta, was last Friday arraigned in Nairobi on Ksh4.5 billion (about Tsh90.5 billion) fraud chargeswww.thecitizen.co.tz
Ooopalaa!! Briefcase company!!
Teargas NairobiWalker n mwathadan
You just proved my point .. 30% of it is not Tanzanian …at least now I hope you accept learning English is not a bad thing either coz you guys act like knowing proper English is weird or something…or like you own Swahili trademark…Swahili originated from Kenya...Otherwise you can keep your Swahili sanifu .. we don’t care as our Swahili is good enough for us…..Unajua maana ya utohoaji!?
Swahili limetoholewa kutoka katika lugha ya kiarabu msamiati 'sawaahiliyyah' maana yake watu wa pwani.
Neno likishatoholewa na kuingizwa kwenye lugha nyingine ndio linakua ni la lugha mpya.
Zaidi ya asilimia 70 ya lugha ya kiswahili ni misamiati ya kibantu.
Sasa inakuaje ni kiarabu!?
Failure of epic proportion!… try againJKIA landing kwenye mbuga/ forest
Tunatengeneza airport city pale msalato Dodoma, Tanzania sio Kenya mzee kila ktu Nairobi, angalia Dodoma hii na hapo sio msalato ni old airport 👇👇😘😘😍😍🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥
View: https://youtu.be/94GFa6WuwuY?si=1nJLH364j8bpK0No
Huu mradi uliishia wapi?
Cc: Teargas NairobiWalker mwaiofhawaii
View: https://m.youtube.com/watch?v=hDsCQWWpuiY
Tunatengeneza airport city pale msalato Dodoma, Tanzania sio Kenya mzee kila ktu Nairobi, angalia Dodoma hii na hapo sio msalato ni old airport 👇👇😘😘😍😍🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥
View: https://youtu.be/94GFa6WuwuY?si=1nJLH364j8bpK0No
Sio.Snoop ni 2pac wewe mbulula!There is an old school Snoop Dogg hit that goes like…. Every city I go, I see the same whores….🤣…. Now remix that for Bongo … Every city I go , I see the same Uswazi …🤣🤣🤣…… so sorry… switching goal posts to Dodoma won’t help you escape same uswaziland fate…😄
Falamanga ajue wapi katoka ushagoo huko kwao jiggers everywhere!Sio.Snoop ni 2pac wewe mbulula!
Inabidi tumpe tour ya airports Tanzania, aje bara pia aje atembelee Msalato, Kilimanjaro, Bukoba, Arusha, Mwanza na Songwe airports then Iringa, Tabora, Shinyanga, Musoma, Kigoma, Mpanda, Sumbawanga, Mtwara na Lindi esp. zitakapokamilika!Saivi wajanja wamenza kusanuka kwamba wanadanganywa kuwa wanaongoza East Africa kumbe ni uongo tupu wamestuka sio poa MORARA anawapa za uso ndugu zake
Kuna hotel moja nilipata kukaa kwa siku chache nearby O.R Tambo miaka hiyo, kitu kimojawapo kilichonivutia jamaa kila mti uliopo eneo lao una tag, na hiyo tag ina jina la mti wenyewe kisayansi na kiingereza, mandhari yake ilikuwa ni nzuri sana, ilinichukua muda kusoma mti baada ya mti, wish tunge-adopt this kwenye maeneo yetu muhimu, mwishoni lazima uwe very calm nature hutibu mioyo, nafsi mwili na akili.View attachment 3167347
Good Afrernoon from Julius Nyerere International Airport. Home Sweet Home ❤️View attachment 3167350
Uongo ndio kila kitu kwenye maisha ya Wakenya.
View: https://x.com/johnnjenga/status/1863560021973323853
Wanajipiga kifua hapa kila kukicha mara "oooh bajeti kubwa" mara "gdp kubwa" kumbe mambo madogo kama elimu bure from primary to secondary ni kizungumkuti.Kumbe ni third world country! 😂😊😊
Botanical Garden ya Dar city Centre wangeanza nayoKuna hotel moja nilipata kukaa kwa siku chache nearby O.R Tambo miaka hiyo, kitu kimojawapo kilichonivutia jamaa kila mti uliopo eneo lao una tag, na hiyo tag ina jina la mti wenyewe kisayansi na kiingereza, mandhari yake ilikuwa ni nzuri sana, ilinichukua muda kusoma mti baada ya mti, wish tunge-adopt this kwenye maeneo yetu muhimu, mwishoni lazima uwe very calm nature hutibu mioyo, nafsi mwili na akili.
Ona unavyozidi kuboronga😂😂😂😂.You just proved my point .. 30% of it is not Tanzanian …at least now I hope you accept learning English is not a bad thing either coz you guys act like knowing proper English is weird or something…or like you own Swahili trademark…Swahili originated from Kenya...Otherwise you can keep your Swahili sanifu .. we don’t care as our Swahili is good enough for us…..
Kiswahili 70% ni kimijikenda wanaoishi KenyaOna unavyozidi kuboronga😂😂😂😂.
Toka lini kiswahili kikaanzia Kenya !?
Kiswahili mali ya pwani ya Afrika mashariki hususan pwani ya Tanzania bara.
We baki kusoma Kiingereza kiswahili huku achana nako.
Lugha hukua na kuongeza misamiati,hiyo 30% ya misamiati ya kigeni kutoholewa kuwa kiswahili haimaanishi kiswahili ni lugha ya kigeni.