Tunajenga meli kubwa za mizigo lake Victoria na Tanganyika in under 24 hours mizigo iko Port bell Uganda.sahau hio kaka tumeshindwa vita tukubali
Tunajenga meli kubwa za mizigo lake Victoria na Tanganyika in under 24 hours mizigo iko Port bell Uganda.sahau hio kaka tumeshindwa vita tukubali
Hakuna aliyeforce na kuingilia deal la bomba la mafuta mwenye mradi TOTAL ndio kaamua lipite Tanzania kwasababu muda wa utekelezaji ungekuwa mfupi na gharama nafuu pamoja na security ya mradi wao.kwan kaka unaeza niambia kwann bomba la mafuta litapita tanzania ikiwa kwa kenya wangeokoa over 250km, na unaeza niambia kwann tuliingilia deal la mkenya ikiwa hakuna vita vya kiuchumi kati ya tanzania na kenya ? na kwann tuli force sana SGR ipite bukoba kwenda uganda na tukaponda sana kupita malaba au tumesahau yote hapa??
tukubali tukatae vita tumeshindwa
Tuliwaambia hhi reli yenu imejengwa kijua kalikuna shida kubwa sana 🙌🏻🙌🏻
View attachment 3160588
Ni sawa mzee ila logic and rational yako ipo kama ChoiceVariable.hili ni pigo kaka hata tukisema tufiche, siku zote tulikua tunafukuzia huu mradi wa uganda tena tumetumia nguvu kuuchelewesha kwa fitna leo umetuponyoka kirahisi,
anyway tuendelee kusifia tu 😂😂😂
That's it afadhali ungeanza na uwasilishaji huu.mzee kaa ukubali ukatae tanzania na kenya kuna vita baridi vya kiuchumi ndio maana unaona kuna ushindani sana kwenye uchumi, kama hatukua na nia ya kuonganisha reli kwenda uganda kwann tulikua tunamshawishi uganda kuunganisha na bukoba? hvi ww unafkiri reli ikikamilika hayo mafuta unayodai yatapita tanzania kwenda uganda?
Wakumbuke their whole boundary with DRC. Is occupied by lake Tanganyika - the second deepest lake in the world.🤣Majority of DRC minerals ziko huko sides za Uganda and that’s where railway is heading, nyinyi itabidi mbaki tu na Burundi juu sioni mkifaulu kufika to the core of DRC minerals.
Mkono wa chuma unahitajika hapa.kuna shida kubwa sana 🙌🏻🙌🏻
View attachment 3160588
According to your empty brain hakuna Barabara Kenya?🤣🤣Bomba lingepita wapi Kenya huko maporini terrain ni mbaya hakuna njia vifaa vingesafirishwaje?
The route was short obviously but technically challenging unlike sisi pipeline route inatembea along the major nodes of transport such as roads and rail vifaa Vinafika site kwa urahisi.
Bongo washamba.Mkono wa chuma unahitajika hapa.
Hata Katarama kupigwa mawe kuna watu wanachekelea.
Bongo tuna kawaida ya kuchukulia vitu poa sababu hatupati consequences ya actions zetu. Ifike mda kila mtu awe analipwa na ujinga wake au wema wake.
Sasa unataka waganda wasiwe na maamuzi yao huru? Uganda wapo na uhuru wa kuchagua wapi watapata faida.au sio tukisema hapa tunaonekana mamluki wakat ndio ukweli tunaosema😂
I don't think so mzee. Mpaka mtu ushike jiwe kupiga kitu kama reli si mchezo na unajua kabisa ni mali ya serikali. Bila kujazwa upepo si rahisi.Bongo washamba.
Ametembea Kenya a couple of times akaona uhalisia wa vitu. Nyinyi ambao bado hamjatembea ndio mnaendelea kupiga kelele eti ooh njaa, sijui ukabila sijui nini.Kapata demu wa kinyangau anasimamiwa akiwa anafanya typing 🤣🤣🤣
viongozi hawawajibiki ipasavyowatoto wa Kigogo wajinga sana! Kuna mahali Bongo wanalazimishiwa maendeleo lakini akili zao zimejaa matope!
hvi unategemea mombasa to uganda kwa SGR cost yake itakua sawa na kutoa mzigo dar upeleke mwanza upakue ueke kwenye meli iende port bell tena ibebwe kwenye treni iende kampalaHakuna mtu mwenye akili atajenga nyumba ya mlango mmojo, wakati Mombasa ni jirani zaidi wanapitisha mizigo yao mingine Dar wanajua athari za kutegemea njia moja isiyokuwa yao.
kaka tulichoshinda sisi ni kupunguza kodi na kununua hisa ya 15% na bahar nzuri huku ardhi ni mali ya serekali ndio maana hata mradi ukashuka cost yake lakini ukienda head to head walipaswa kushinda ila sisi tulitumia fitna na ushawishi ambacho ni kitu kizuri sana tulifanyaBomba lingepita wapi Kenya huko maporini terrain ni mbaya hakuna njia vifaa vingesafirishwaje?
The route was short obviously but technically challenging unlike sisi pipeline route inatembea along the major nodes of transport such as roads and rail vifaa Vinafika site kwa urahisi.
bro haya maneno unayatoa wapi??😂Tanzania has always wanted to serve Uganda through lake victoria ndio maana umeona priority yetu ni kupeleka reli DRC kwanza sio Uganda na bado we are on course. Kwani kama priority ingekuwa Uganda si ungekuta kuna mchakato wa reli from Isaka to Mtukula lakini kwa sasa hiyo plan haipo mradi wa sgr unaofuatia according to serikali ni mtwara mbamba Bay kwenye madini ya chuma na makaa ya mawe.
uganda atazalisha crude oil ambayo itasafirishwa through tanga kwenda kwneye mataifa mengine na hayo mafuta ni ya ubia sia yake pekeake broMafuta gani tena wakati Uganga atakuwa na mafuta yake by 2026.
🙄Geza Ulole naona tumepigwa KO ya nguvu
😂😂😂😂😂
Au siyo? 😂😂👇👇uganda atazalisha crude oil ambayo itasafirishwa through tanga kwenda kwneye mataifa mengine na hayo mafuta ni ya ubia sia yake pekeake bro
hakuna oil refinery africa hii nje ya nigeria, misri, algeria, morocco, tunisia etc na wao still mauzo yao yanategemea kuuza europe na asia
Option 2 ziko wapi? Wazee wa Sgr za mchongo mnaparurana 😂😂bro haya maneno unayatoa wapi??😂
uganda isingekua priority yetu tusingekua na option mbili ya kufika kwake, hata DRC tunayoiwaza sisi ni hio ipite burundi au rwanda, sometimes tukubali kua hakuna ufatiliaji wala ushawishi kwa sasa ila tuendelee kusifia tu