Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lending government money is the way to go, most Kenyans are now lending GOK their money directly and banks are suffering juu walizoea kukula interest za serikali sana. This time round Tuko nao bumper to bumper.

Alafu fala wa Tanzania atakuambia Kenya iko na deni mingi when in real sense hizo deni ni za wakenya tu😂😂


View: https://x.com/BD_Africa/status/1859144888773710223


View: https://x.com/BD_Africa/status/1859061769999704205

Si ndio maana mna-suffer huko Mitaani! Sasa kama Banks ziko busy kukopesha serikali badala ya wananchi wapi atakopesha wananchi na mtapata ahueni? Mambo ya economics yamekuacha ndo maana ur sorry Ass is cheering up huo ujinga!


View: https://x.com/omwambaKE/status/1859131619480580203
 
Westlands.

1732094953705.jpeg
 
Si ndomaana man-suffer huko Mitaani! Sasa kama Banks ziko busy kukopesha serikali badala ya wananchi wapi atakopesha wananchi na mtapata ahueni? Mambo ya economics yamekuacha ndo maana ur sorry Ass is cheering up huo ujinga!
Wananchi wanakopesha serikali more than banks. Wakenya waliamka kitambo sana, why borrow from bank when you can lend the government your money and get hefty interests?
 
Aawapi kwa interest rates zipi msingekuwa mnaandamana kwa ugumu wa maisha!
Watu wanaandamana hadi France, Nyinyi Hamna Daima I because nchi nzima imebeba watu waoga kama nyinyi. No wonder mnauziwa sukari kilo moja Tsh 5,000 na mmenuamaza tu😂😂
 
Back
Top Bottom