Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Ati bei 1Kg of Unga ya Ugali ni 1USD😂😂.Hawa wameaminishwa Kenya maisha ni magumu. Hawajakanyaga Kenya ila ukiwauliza watakuambia Bei za bidhaa Kenya ni mara mbili ya Tanzania.😂😂
Hawa watu ni wajinga tu, there is nothing else to describe them.