Akijibu natoka JFKwa fact ipi mzee.? Umeulizwa kenya kuna train za umeme.?
Akijibu natoka JFKwa fact ipi mzee.? Umeulizwa kenya kuna train za umeme.?
Lete kama hiyo from developed Kenya 😁Train ya 160km/h ndio unaita bullet train? This is a slow train wewe watchman.
We kondoo kumbe naposema with one dollar napata 2kg unga na wewe unapata 1kg si namaanisha individuals au wewe uwezo wako wa ku articulate vitu ni mdogo?
maendeleo gani?? ya kumalizia miradi au maendeleo gani unayosema ww ??
maendeleo meli ya mafuta inakaa bandarini mwezi mzima alaf damage yake wanafaidila watu wachache mzigo unarudi kwa wananchi hayo ndio maendeleo???😂😂😂😂😂😂😂
au maendeleo ya mikopo ya over 20b usd in just 3 yrs huko kodi na tozo kila kona 😂😂
naskia kuna gorofa limekwenda chini kariakoo vp waziri anasemaje bado yuko ofsini???? au tushangilie tu
View: https://www.instagram.com/reel/DCbE46qsmEL/?igsh=aHlrczJjb3VnZmlx
Unabwabwaja bila facts ciz unajua ukiweka hapa ni aibu tupu 😂😂😂Bado mko chini ya Kenya in the number of health facilities. Hakuna any development indicator that Tanzania will ever be ahead of Kenya.
Hater ichoboy01 atamwaga povu 🤣🤣🤣🤣👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DCbRpA4KrL-/?igsh=MTZ2MjZwOWwwb2EzbA==
Arudi na zile Marcopolo kwa ajili ya BRT sasa!
Sawa ngoja tumsubili mchina aje ajichukulie shamba lake maana mchina mkopo reli mshafeli bado ule wa white elephant lamuUmezoea kukopa vitu unadhani wote ni kama wewe? Wewe endelea kukopa mapicha ujaribu kudanganya nao watu.