Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi sidanganywi na mtu yeyote ninajua.

Tozo ya miamala inafanya kazi ifuatayo 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DB8tOxktBdw/?igsh=dWw5dms3cDI0YTl1

Na matokeo yake ni kama haya hapa ,on top of other sources kama RISE,TACTIC,Agri Connect,DMDP,BRT(from 20b usd) 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DCZQ10jtNH9/?img_index=1&igsh=MXhnaWxxOTNqczVmcQ==

so kama tozo inafanya kazi hio hzo over 20b usd zilikopwa kwa miradi ya TARURA tena??😂
 
Naweza kukupa mifano ya wafanyabiashara walio hamisha baadhi ya biashara zao nchi nyingine kipindi cha Magu kama Zachariah Hanspope Zambia, Petrofuels Zimbabwe, Botswana na Namibia, Mount Meru Rwanda the list is long sasa wewe leta list ya watu waliohamishia biashara zao Uganda.
Kwani Kuna tatizo mtu akifungua biashara nje ya mipaka ya nchi yake!?
Kwani mnalenga nini mkuu maana Bado sijawaelewa.
 
Let’s remind ourselves where Tanzania is in the infrastructure development index.

1731741122609.jpeg
 
Back
Top Bottom