Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi nyie watu mnapata faida gani. Wote hao raisi Samia na marehemu Magufuli (alipokuwa hai) wanatekeleza ilani ya chama kilichopo madarakani. Magufuli alianza na falsafa ya 'hapa kazi tu' na Samia amekuja na falsafa ya 'kazi iendelee', na anafanikisha miradi yote ya kimkakati iliyoanzishwa na mtangulizi wake pamoja na kuanzisha miradi kama ilivyoainishwa katika ilani ya uchaguzi. Sasa shida iko wapi?
Hii thread imekuwa ya KIPUMBAVU. Kuna WAPUMBAVU wamevamia hii thread na kuiharibu kabisa. Thread ilikuwa Nai vs Dar na watu waliitendea haki. Ila kuna wangese wamevamia humu hata sijui wamekurupuka kutoka wapi na kuifanya hii thread ni notice board ya TAMISEMI kila dakika kupost miradi ya kigoma sijui tandahimba mara songea inahusiana nini na Nai vs Dar? Yuko wapi NDINDA yuko wapi Simon yuko wapi Chamoto ? Wale wote wenye akili wamekimbia hii thread wamewaachia chawa waendeleze ujinga wao. Nilikuwa nikiingia JF hatua ya kwanza ni humu sasa hivi wala sijisumbui hakuna content kuna upumbavu tu. Hata Teargas anawashinda maana content zake 99% ni kuhusu Nairobi.
 
Hii thread imekuwa ya KIPUMBAVU. Kuna WAPUMBAVU wamevamia hii thread na kuiharibu kabisa. Thread ilikuwa Nai vs Dar na watu waliitendea haki. Ila kuna wangese wamevamia humu hata sijui wamekurupuka kutoka wapi na kuifanya hii thread ni notice board ya TAMISEMI kila dakika kupost miradi ya kigoma sijui tandahimba mara songea inahusiana nini na Nai vs Dar? Yuko wapi NDINDA yuko wapi Simon yuko wapi Chamoto ? Wale wote wenye akili wamekimbia hii thread wamewaachia chawa waendeleze ujinga wao. Nilikuwa nikiingia JF hatua ya kwanza ni humu sasa hivi wala sijisumbui hakuna content kuna upumbavu tu. Hata Teargas anawashinda maana content zake 99% ni kuhusu Nairobi.
Wewe ni nyoko kwa vile huoni kampeni za Yule mtu wenu wa Chato zikipotosha humu! Kila mtu ana Haki ya kusimamia anachoamini! Na kueleza ukweli kama ulivyo!

Yaani mtulazimishie mtu alikuwa anaendesha nchi kipropaganda anazindua miradi huku hamna fedha matokeo yake anakufa hamna kitu kimefanyika mnabaki kung’ang’ania utendaji wa mama!
 
Back
Top Bottom