Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

rusumo ilishaanza muda mrefu sana alaf sio ya tanzania pekee inamilikiwa na nchi tatu na kila nchi ilitoa fedha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

ww unatuletea miradi ilishaanza toka kipindi hicho cha magu 😁😁😁😁😁

over 20b usd in just 3 yrs alooooπŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»
Ikiwa imeanza kipindi cha Magu? Au unataka kusema yeye ndiye alitoa fedha?
 
Trilioni 50 ichoboy01 πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DCOs29lt0Hy/?igsh=MTQ0YzZ5dzlqdDYz

Hivyo ni viwanja 7 tuu lakini ujenzi wa viwanja 15 unaendelea na vingine vimekamilika.

so msalato ulianza lini au unataka kutuaminisha nn ???πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

miradi mingi ya airport ilishaanza muda tu sasa unataka kutuonesha kua hii nchi haikusanyi kodi za maendeleo au kodi na tozo zinaenda wapi ikiwa kila jambo unaloonesha ww unadhani ni mikopo tuπŸ˜‚πŸ˜‚

au unataka kuforce kwamba tuone over 20b usd wapi ilienda kwa just 3 good yrs
 
so msalato ulianza lini au unataka kutuaminisha nn ???πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

miradi mingi ya airport ilishaanza muda tu sasa unataka kutuonesha kua hii nchi haikusanyi kodi za maendeleo au kodi na tozo zinaenda wapi ikiwa kila jambo unaloonesha ww unadhani ni mikopo tuπŸ˜‚πŸ˜‚

au unataka kuforce kwamba tuone over 20b usd wapi ilienda kwa just 3 good yrs
Msalato ujenzi umeanza kipindi cha Samia!
 
Msalato ujenzi umeanza kipindi cha Samia!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Msalato ujenzi umeanza kipindi cha Samia!
risiti yako hii hapa kaka ukiwa muongo usiwe msahaulifuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

IMG_1051.jpeg





View: https://youtu.be/A5SS23YCqG4
 
so msalato ulianza lini au unataka kutuaminisha nn ???πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

miradi mingi ya airport ilishaanza muda tu sasa unataka kutuonesha kua hii nchi haikusanyi kodi za maendeleo au kodi na tozo zinaenda wapi ikiwa kila jambo unaloonesha ww unadhani ni mikopo tuπŸ˜‚πŸ˜‚

au unataka kuforce kwamba tuone over 20b usd wapi ilienda kwa just 3 good yrs
Msalato umeanza 2021/2022 awe kwako ulianza awamu ya Jiwe? 😁😁
 
so kama kashindwa nani anasimamia uteuzi wake ??? au ndio vile ilimradi liende?πŸ˜‚
Teuzi za Kadogosa alisimamia Mwendazake kumbuka huyo ni Sukuma gang mwenzako,unataka tumtose? 😁😁

Mwisho angeshindwa treni isingeanza kutembea
 
rusumo ilishaanza muda mrefu sana alaf sio ya tanzania pekee inamilikiwa na nchi tatu na kila nchi ilitoa fedha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

ww unatuletea miradi ilishaanza toka kipindi hicho cha magu 😁😁😁😁😁

over 20b usd in just 3 yrs alooooπŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»
Muda mrefu sana upi? 😁😁😁

Tuoneshe huo mda mrefu hapa
 
Msalato ujenzi umeanza kipindi cha Samia!
Jamaa halijui,hata ring road imeanza Kwa mama.

Mwendazake alisaini mradi hewa AfDB hawajutoa hela ,mradi ukaja kusainiwa upya awamu ya mama 😁😁😁😁

Nilichekaga sana ni kama EACoP Mwendazake alikuwa anasaini Kila siku ila hakuna Mkandarasi site πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tuletee Msalato na Ring road zikisainiwa awamu ya Mwendazake 🀣🀣
 
Back
Top Bottom