Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Gitaru interchange Kiambu County
FB_IMG_1731376817571.jpg
FB_IMG_1731376792975.jpg
 
Hii thread imekuwa ya KIPUMBAVU. Kuna WAPUMBAVU wamevamia hii thread na kuiharibu kabisa. Thread ilikuwa Nai vs Dar na watu waliitendea haki. Ila kuna wangese wamevamia humu hata sijui wamekurupuka kutoka wapi na kuifanya hii thread ni notice board ya TAMISEMI kila dakika kupost miradi ya kigoma sijui tandahimba mara songea inahusiana nini na Nai vs Dar? Yuko wapi NDINDA yuko wapi Simon yuko wapi Chamoto ? Wale wote wenye akili wamekimbia hii thread wamewaachia chawa waendeleze ujinga wao. Nilikuwa nikiingia JF hatua ya kwanza ni humu sasa hivi wala sijisumbui hakuna content kuna upumbavu tu. Hata Teargas anawashinda maana content zake 99% ni kuhusu Nairobi.
Ni upepo tu utapita
 
Anaropoka tu huyu Mwijaku,hata ukitizama speech alotoa Manara ni ya maturity ila ukimsikiliza Mwijaku unajua mropokaji tu.
Mwijaku bado sana kumfikia Manara kifedha.
Tatizo hawa ni brand ambassadors na maneno ya shombo hayaendani na Brands Mwijaku atamwaribia Zungu brand yake!
 
Back
Top Bottom