ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,268
Kwenye Jiji Utakalo lileta Tanzania huduma Gani kati ya Hizi hazitakuwepo kabisa kwenye Jiji Lako!?Ninasubiri jibu la kuhusu master plan ya jiji la Nairobi. Kisha tutaendelea. Hapa ni kutoa jibu la picha au reference document.
Ukisema kwa maneno tu haina maana yoyote. Hata mimi hapa ninaweza kukuambia ni tajiri kuliko Dangote. Lakini kukiwepo na evidences ndio tunajua.
Kwenye Jiji Utakalo lileta Tanzania huduma Gani kati ya Hizi hazitakuwepo kabisa kwenye Jiji Lako!?
Have you ever wondered why I don't argue with subpar on here? The answers you came up with are the real reasons why I don't bother with your likes.Mkuu kwanza utambue kabisa ubungo basi terminal ilikuwa chini ya manispaa ya ubungo na kama alikuwa ni kinjekitile ngwale ndio alipata tender ya ukusanyaji ushuri hakuwa na uwezo wa kujenga choo maana haikuwa Mali yake na ingekuwa ni kinyume na mkataba.
Kwa ushauri fuatilia ripoti ya mapato kwa manispaaa ya ubungo kwa kipindi chote utakuta taarifa ya mapato yatokanayo na ushuru wa stendi yalikuwa yanasoma. Sasa kama yalikuwa yanasoma ikawaje yasome ubungo wakati kinje alikuwa amemilikishwa. Walau ungesema kuwa hakukuwa na open tender ya kumpata mzabuni ungeeleweka .
Hebu tueleze sababu za msingi kuwa na mabenki ya Kitanzania huko Kenya.Hivi Sisi watanzania tuna hakiri kweli, inakuwaje wakenya wanakuwa na bank nyingi Tanzania arafu Sisi hatuna bank yetu Kenya?
Cha ajabu Mpaka leo yame-Park!Yaan tukanunulishwa mabehewa used eti kigezo Cha COVID na mpaka Leo hakuna dalili ila yale ya Samia yashafika
Yani ww jamaa , strong banks duniani ni market share uliyonayo globally, ukiwa na market share kubwa kwenye East Africa, sadec ndio cash transaction inakuwa kubwa.Hebu tueleze sababu za msingi kuwa na mabenki ya Kitanzania huko Kenya.