Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani wakenya mna English gani ya maana at least hata waganda wanajitahidi ila Kenya mkitoa lugha zenu za asili hakuna lugha nyingine mnaiweza Kwa ufasaha
Wanakuambia wao ni English speakers cha ajabu zikitoka list ya Afrika countries zinazoongea English huwa hawapo kabisa, hata unapoomba scholarships nchi za ulaya, Kenya inahesabika kama nchi isiyojua English na wanatakiwa wafanye mtihani wa lugha kama waburundi au wacongo au wacomoro tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwani wakenya mna English gani ya maana at least hata waganda wanajitahidi ila Kenya mkitoa lugha zenu za asili hakuna lugha nyingine mnaiweza Kwa ufasaha
Wanakuambia wao ni English speakers cha ajabu zikitoka list ya Afrika countries zinazoongea English huwa hawapo kabisa, hata unapoomba scholarships nchi za ulaya, Kenya inahesabika kama nchi isiyojua English na wanatakiwa wafanye mtihani wa lugha kama waburundi au wacongo au wacomoro tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unapenda sana kujadili personalities. Hapa tupo kwenye battle. We all know unataka kuharibu discussion

Aliyekutuma mwambie ameshindwa atafute mbinu nyingine. Tutaendelea kuwapiga nyundo mpaka mnyoshe mikono. Pages zote hatujaona ukiweka kitu cha maana. You just attacks people.

Weka Maendeleo ya Kenya*
Anadhan Kila mtu ni mwenzake humu
 
Haha imepigwa na simu ikatumwa whatsap namba yangu whatsap iliyokuwa linked na PC . Wewe prove kuwa either ni downloaded au unamjua mtu aliyepiga na kutuma.
Hiyo picha sio yako malaya hii, si ulikana sio ya WhatsApp? After nimekuexpose ndio unasema umetumiwa WhatsApp😂🤣😂.

Endelea kuomba picha😂😂🤣
 
Haha imepigwa na simu ikatumwa whatsap namba yangu whatsap iliyokuwa linked na PC . Wewe prove kuwa either ni downloaded au unamjua mtu aliyepiga na kutuma.
Hiyo picha sio yako malaya hii, si ulikana sio ya WhatsApp? After nimekuexpose ndio unasema umetumiwa WhatsApp😂🤣😂.

Endelea kuomba picha😂😂🤣
 
Hapa ni Mwenge Chakula ni kizuri sana bei ni sawa na bure

1730550164349.png
 
Back
Top Bottom