Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unatuwekea picha umetumiwa na WhatsApp?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Picha zenyewe sio zako, Yani nyinyi watanzania lazima mfake tu life ndio mueze kushindana na mimi?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
Haha kwahiyo ulitaka unione hapo. Unadhani ni kama nyie prove kuwa hiyo imetumwa whatsap
 
Ndo maana nakuambia utachekwa yaan uuze korosho halafu usiwe na bank account ndo maana nakuambia wewe Bado ni nincompoop kwenye financial freedom ,
Korosho gani umeuza?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£ Ushatumiwa picha kwa WhatsApp unakuja kutupigia nazo kelele hapa.
 

Akemi Revolving Restaurant - Dar es salaam​

Teargas You will continue eat the crumbs of people who eat well like Lazarus

1730547840814.png


1730547853840.png


1730547866790.png
 

The Great Wall Restaurant - Dar es salaam​

Teargas umekula lakini leo au ndio unakesha humu JF upate posho kutoka kwa Mama Ngina kuwa umeitukana Tanzania? 🀣 🀣 🀣 🀣

1730548130758.png


1730548158381.png


1730548225098.png
 
Wewe ndo unaclaim nimetumiwa whatsap sawa Sasa we prove nimetumiwa na unipe sababu ya kwanini nitumiwe .?
Hiyo picha sio yako malaya hii, Kwani lazima tu mdanganyane? Rudi Shia mwenyewe picha yakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚
 
Watanzania unifurahisha sana. Yani majamaa wamekubali kuomba picha just to compete with meπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚.

Leo kuna mwenye ameomba picha akatumiwa kwa WhatsApp
Kuna pia alidanganyana anafanya importation kumbe ni za mwarabu na yeye kaandikwa tu kama muuza simu.
Mwingine kaiba picha ya mwanaume mwingineπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚
 
Hiyo picha sio yako malaya hii, Kwani lazima tu mdanganyane? Rudi Shia mwenyewe picha yakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚
Malaya umeshindwa prove umezoea kufake life unajua na watanzania wanafake. Sasa that 30,000 makadirio ni kuuza not below 3000. Hapo Kuna zilizonunuliwa na nyingine za shambani mwehu wewe .

Haya hiyo ilikuwa groundnut 20 acres haikutoka vizur 12 tonnes Bado unataka tuendelee na bonds zako
IMG20240319111812.jpg
 
Malaya umeshindwa prove umezoea kufake life unajua na watanzania wanafake. Sasa that 30,000 makadirio ni kuuza not below 3000. Hapo Kuna zilizonunuliwa na nyingine za shambani mwehu wewe .
Let me prove it to you that umeomba picha ukatumiwa WhatsApp, unaona the red arrow and the red underline? Alafu unasema zinakaguliwa leo while picha ni ya 20/10/2024πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡

IMG_0725.jpeg
 
Hakuna kitu mbaya kama kuishi fake life. Jamaa kaomba picha alafu to make it worse anasema zinakaguliwa leo while picha ni ya 20/10/2024πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡

IMG_0725.jpeg
 
Malaya umeshindwa prove umezoea kufake life unajua na watanzania wanafake. Sasa that 30,000 makadirio ni kuuza not below 3000. Hapo Kuna zilizonunuliwa na nyingine za shambani mwehu wewe .

Haya hiyo ilikuwa groundnut 20 acres haikutoka vizur 12 tonnes Bado unataka tuendelee na bonds zako
View attachment 3141493
Wewe umezoea kuomba picha nyamaza fukara hiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚
 
Haha Bado umechemka prove huo sio mzigo wa muhusika
Sio yako, who do you want to impress here ndio uombe picha? After kuomba picha bado huezitumia akili ya kujua ilipigwa lini, ati zinakaguliwa leo wakati picha ni ya October πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚.
 
Hakuna kitu mbaya kama kuishi fake life. Jamaa kaomba picha alafu to make it worse anasema zinakaguliwa leo while picha ni ya 20/10/2024πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡

View attachment 3141494
Unapenda sana kujadili personalities. Hapa tupo kwenye battle. We all know unataka kuharibu discussion

Aliyekutuma mwambie ameshindwa atafute mbinu nyingine. Tutaendelea kuwapiga nyundo mpaka mnyoshe mikono. Pages zote hatujaona ukiweka kitu cha maana. You just attacks people.

Weka Maendeleo ya Kenya*
 
Hakuna kitu mbaya kama kuishi fake life. Jamaa kaomba picha alafu to make it worse anasema zinakaguliwa leo while picha ni ya 20/10/2024πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡

View attachment 3141494
Haha imepigwa na simu ikatumwa whatsap namba yangu whatsap iliyokuwa linked na PC . Wewe prove kuwa either ni downloaded au unamjua mtu aliyepiga na kutuma.
 
Back
Top Bottom