Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuongee kijana kuhusu Assets mbona unakimbia? UNAOGOPA?
Hakuna level ya Nairobi in East Africa. Hiyo Dar linganisha na Kisumu and Eldoret in terms of wealth.

1730461218017.jpeg
 
Ukimpatia Teargas serious discussion anakimbia. Wamezoea kwenye mitandao yao kutukanana na kutishana ovyo.
Hawezi kugusa hii topic ya Assets mpaka kiyama. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Hawa tuliwahi bishana kuhusu miradi ya umeme ya Kenya versus tanzania kwa kuoroshesha wakawa wanakimbilia data za mitandaoni bila uhalisia wa vilivyopo kwa ground, hawana lolote zaid ya kujishaua . Hata tukileta wakenya versus watanzania waliowekeza nje ya nchi zao wataleta issue za kcb equity ambazo Kuna wazungu kibao wamewekeza
 
Hawa tuliwahi bishana kuhusu miradi ya umeme ya Kenya versus tanzania kwa kuoroshesha wakawa wanakimbilia data za mitandaoni bila uhalisia wa vilivyopo kwa ground, hawana lolote zaid ya kujishaua . Hata tukileta wakenya versus watanzania waliowekeza nje ya nchi zao wataleta issue za kcb equity ambazo Kuna wazungu kibao wamewekeza
Tanzanian shouod not talk about electricity as long as 60% of Tanzanians still live in darkness😂😂🤣😂
 
Mama Ngina Propaganda kama kawaida yako. Anybody can write this flyer. It has no truth. Even my child can make it
Andika yako utuonyeshe basi, hata kama hampendi ukweli bado ntazipost tu😂😂🤣
 
Tanzanian shouod not talk about electricity as long as 60% of Tanzanians still live in darkness😂😂🤣😂
As long nyinyi master wa kupika hamtakiwi hata kuongea na Tanzania kama Nairobi tu population ya almost 60 % wanaishi kwenye matope na dar es salaam is twice the size na population lakin watu hawana slums
 
NIfurahishwe na vitu vya uongo. Unaandika kujifurahisha mwenyewe na unajua unaandika uongo.

WEKA ASSET VALUE YA NAIROBI
Si uandikize zako ulete huku, naona hata hii pia nimeandika mimi😂😂🤣👇👇

 
Back
Top Bottom