Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata mimi naweza tengeza taarifa zangu, zamani kipindi mnatumia hiz kwenye battle ndio mlitusumbua 😂😂😂 we know our country better.
Halafu hawajui Tanzania inaijua Kenya kuliko hata wanavyoijua , Tanzania ikipelekea kusomesha sana watoto Kenya wakiwemo wapelelezi miaka ya 1990 tukawajua in and out ila wenyewe hawajui chochote kuhusu tanzania
 
I have so many.
Dalili ya kushindwa mjadala ni kuanza kurudia rudia isssue ambayo is not corrent.
Wewe leta Assets value ya nairobi unaogopa nini?
Zipost basi tuone. As of now, this is what recognized globally mpende msipende👇👇

 
Zipost basi tuone. As of now, this is what recognized globally mpende msipende👇👇

Weka projects kama hivi: 👇 👇 👇 👇

BRT Phase III $243 million
 
Nairobi is the only City East Africa ranked among the best residential luxury markets. And one of the only two together with Cape Town.

IMG_0713.png
 
Dar is not even in the Top 20 Africa wealthiest cities😂😂👇👇

IMG_0714.png
 
Are you are that Nairobi is 3x Wealthier than Dar? Are you aware?

Nairobi ni ndogo sana kwa dar es salaam tukija kwenye uhalisia , ukichukua tu project tu za kinondoni na ilala ni zaid ya nairobi kumbuka industrial zone ya haiko dar Bali pwani
 
Nairobi ni ndogo sana kwa dar es salaam tukija kwenye uhalisia , ukichukua tu project tu za kinondoni na ilala ni zaid ya nairobi kumbuka industrial zone ya haiko dar Bali pwani
Nairobi is 3x wealthier than Dar, are you aware of that? Are aware that top 20 biggest companies in East Africa are found in Nairobi? Are aware that most profitable companies in East Africa are found in Nairobi?
 
Top 10 Biggest banks in East Africa.
Kenya 7
Tanzania 2
Ethiopia 1.

Na bado drug traffickers wanataka kushindana na Nairobi in terms of assets😂😂

1730463817319.png
 
Back
Top Bottom