Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi naweza kukuonyesha pesa ambayo ninayo mkononi sasahiv, we utaweza kunionyesha.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kubali tu huna bank account fukara hii๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

IMG_0519.jpeg
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ukijiona unaomba upewe ruhusa kazini, jua kuwa wewe si tajiri mzee ni mtumwa wa mtu, tafata pesa uachane nahayo maisha.
As long as pesa natengeneza kwa mwezi is more than your two year income mimi sina shida๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Unatuwekea picha ya kitu huwezipanda? Umezoea kupanda basi sababu huna uwezo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
Nikirudi Dar next week nikiwa natoka kahama nita share picha humu. Kesho narudi Geita, i will be there for around 3-4 days, then kahama then back to Dar es Salaam my second home. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom