Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hapana kaka sio wazo zuri dar by 2030 unategemea watu million 10 hvi unafkiri BRT itaweza kupunguza msongamano wa magari kweli ??? ikiwa sasa hvi BRT inafanya kazi hapo jangwani over 7 yrs na bado foleni iko pale pale, tuna viongozi wasiofikiri miaka 5 ijayp sasa leo barabara ya airport unaenda kuifinya vile unaacja space kubwa kulia na kushoto tunategemea nn ????
Huwezi kupunguza foleni kwa kupanua barabara. Baada ya muda zitakuwa hazitoshi,tE mpaka wapi? RELIABLE PUBLIC TRANSPORT NDIO INAONDOA KERO YA FOLENI. una majiji makubwa duniani yana barbara pana na za kisasa lakini foleni iko pale pale. Mwendokasi haijawekwa kuremba mji ni njia sustainable ya kuondoa kero ya foleni. Inakupoa option uamue kukaa kwenye gari yako masaa mawili au upande bus 25 minutes kufika mjini. Tumefanya uzembe kwenye uendeshaji awamu ya kwanza ndio maana tumefika hapa. Mradi ulianza vizuri na watu wengi walikuwa wanaacha magari lakini kama kawaida yetu upuuzi wa jadi tujauharibu mradi wenye wamagari wakarudia magari yao.
 
Mwisho unatakiwa uelewe
Hilo la elimu lote mimi nalifidia kwa sera ya Magufuli ya elimu bure.
Utambue kuwa unapoweka huduma fulani bure serikalini kunatakiwa kuwe na fungu la uendeshaji hiyo huduma.

Kuna vituo vya afya hususan maeneo ya vijijini vingi tu vilijengwa kipindi cha Magufuli na hata mimi nimeshuhudia.
Morogoro mkoa naotembea sana kuna vituo vya afya vitatu vilijengwa kwa wakati mmoja katika vijiji vitatu vinavyofuatana mnamo 2017 kama sijakosea.
Pia kuna vifaa tiba muhimu kama CT-Scan nahisi vilianza kuingizwa ama kuagizwa kwa wingi kipindi cha Magufuli.
Sera ya kubobeza madaktari ili wabaki katika vituo vyao badala ya kuandika rufaa lukuki kwa wagonjwa hili lilianza kipindi cha Marehemu Magufuli.

Hapa sasa ndio patamu zaidi mkuu.
Hivi umeshajiuliza pesa za kulipa hao watumishi wa umma na kuajiri zaidi zinatoka wapi!?
Mnafurahia mishahara mikubwa pasi na kujua wapi inatoka.
Kwa pato gani la taifa kila awamu uongeze mishahara!?
Mwishowe mnakopa na nchi inazidi kuwa na madeni baadae kupelekea devaluation ya shilingi yako.
Magufuli alishasema wazi,serikali ya Tanzania haina hizo pesa kiuhalisia za kuongeza mishahara kila wakati na kuajiri kila wakati.
Ila usisahau kuwa aliwapa kipaumbele wajasiriamali wadogo wadogo na vijana na kina mama kwa kuwapa fedha za mikopo kutoka Halmashauri.Hili jambo halikuanzia kwa Samia lilianzia kwa Magufuli.
Alitengeneza mazingira wezeshi ya hadi wa mtu wa chini kupata pesa.
Ila uliza sasa hivi hali ikoje mtaani.

Mimi kila leo naingia ofisi za utumishi wa umma.
Sijaona huo uhaba unaousemea zaidi ya kurudi kwa uzembe na kutokujituma kwa watumishi wa umma na kukosa nidhamu ya utumishi wa umma.

Usiseme miradi midogo unakosea hilo.
*Ufufuaji wa reli ya Kaskazini Arusha.
-Uboreshaji wa reli kuwa continuos welded kutoka kuwa jointed rail.
Maana hii reli Kikwete aliirudisha toka kwa wahindi ikiwa mufrisi.
*Uboreshaji wa bandari.
*Uanzishwaji wa viwanda vidogo na vya kati.
*Uboreshaji wa sekta ya madini kwa kuweka mashine ya usafishaji dhahabu kuwa 99.99% pure na uozeshaji wa makinikia.
-Kuwapa fursa wachimbaji wadogo wadogo wa kufanya biashara ya madini na kupata mikopo wezeshi ya kuwezesha shughuli zao.

Hii unasema ni miradi midogo mkuu!??

Aya endeleeni kufurahia serikali za danganya toto kukopa ili iwaongezee mishahara na ajira ilhali nchi inaoza.
Wewe una matatizo na shida kubwa ya uelewa.Nikikuuliza swali dogo tuu hapa hutonipa majibu.

Nioneshe jinsi Magufuli aliwawezesha Wachimbaji wadogo Kwa pesa na mitambo Ili na Mimi nikuoneshe alichofanya Samia maana rekodi zipo.

Unazunguka zunguka kuhusu Magufuli kujenga shule au Vyuo, ukweli ni kwamba hakuna Chuo kilichojengwa awamu yake na hata sekta ya Afya haikuoewa uzito kama ilivyo awamu ya 6 Kwa kujenga Hospital za Wilaya Kila Halmashauri,Vituo vya Afya zaidi ya 400 ,Maelfu ya Watumishi na Vifaa tiba vya Kisasa.

Miaka 6 ya Magu hii hapa 👇👇
Screenshot_20240317-181106.jpg


Mwisho hakuna namna utaweza mlinganisha Samia na Magu kwenye delivery,kichaka chenu Kwa Sasa ni blaa blaa za Watumishi na sijui Shilingi imeshuka.

Ila sekta zifuatazo Samia Yuko level zake
-Elimu
-Afya
-Uchumi,Biashara & uwekezaji
-Barabara hasa Vijijini (TARURA)
-Kilimo na Uvuvi
-Maji
-Umeme na Nishati Safi ya Kupikia.
-Mapato
-Utalii
-Sekta ya Anga
-Ajira
 
Huwezi kupunguza foleni kwa kupanua barabara. Baada ya muda zitakuwa hazitoshi,tE mpaka wapi? RELIABLE PUBLIC TRANSPORT NDIO INAONDOA KERO YA FOLENI. una majiji makubwa duniani yana barbara pana na za kisasa lakini foleni iko pale pale. Mwendokasi haijawekwa kuremba mji ni njia sustainable ya kuondoa kero ya foleni. Inakupoa option uamue kukaa kwenye gari yako masaa mawili au upande bus 25 minutes kufika mjini. Tumefanya uzembe kwenye uendeshaji awamu ya kwanza ndio maana tumefika hapa. Mradi ulianza vizuri na watu wengi walikuwa wanaacha magari lakini kama kawaida yetu upuuzi wa jadi tujauharibu mradi wenye wamagari wakarudia magari yao.
Uzembe gani?
 
hapana kaka sio wazo zuri dar by 2030 inategemea watu million 10 hvi unafkiri BRT itaweza kupunguza msongamano wa magari kweli ??? ikiwa sasa hvi BRT inafanya kazi hapo jangwani over 7 yrs na bado foleni iko pale pale, tuna viongozi wasiofikiri miaka 5 ijayo sasa leo barabara ya airport unaenda kuifinya vile unaacha space kubwa kulia na kushoto tunategemea nn ???? wakat ndio barabara muhimu kwa uchumi wa nchi yani hua sielew tunamatatizo gani kwa kweli
Kwanza Kwa matokeo ya sensa ya 2022 na growth trend Dar haiwezi kuwa na hao watu may be 7mln.

Pili njia za kupunguza Msongamano ziko wazi kabisa ni

kuwa na network kubwa ya Barabara

Kuanzisha Business Centres huko Pembezoni mwa Jiji

Mifumo changamani ya usafiri eg BRT,Reli na Maji

Mipango Miji ,Dom haitakuja kuwa fole I za kipuuzi Kwa sababu Serikali imeshawahi kuyafanya hayo ikiwemo kupanga Mji.

Ukipanga Jiji unakuwa na njia nyingi mbadala tofauti na Mji kuwa Slum unategemea njia Chache kuu lazima Msongamano uwepo.
 
Mwisho unatakiwa uelewe
Wewe una matatizo na shida kubwa ya uelewa.Nikikuuliza swali dogo tuu hapa hutonipa majibu.

Nioneshe jinsi Magufuli aliwawezesha Wachimbaji wadogo Kwa pesa na mitambo Ili na Mimi nikuoneshe alichofanya Samia maana rekodi zipo.

Unazunguka zunguka kuhusu Magufuli kujenga shule au Vyuo, ukweli ni kwamba hakuna Chuo kilichojengwa awamu yake na hata sekta ya Afya haikuoewa uzito kama ilivyo awamu ya 6 Kwa kujenga Hospital za Wilaya Kila Halmashauri,Vituo vya Afya zaidi ya 400 ,Maelfu ya Watumishi na Vifaa tiba vya Kisasa.

Miaka 6 ya Magu hii hapa 👇👇
View attachment 3133266

Mwisho hakuna namna utaweza mlinganisha Samia na Magu kwenye delivery,kichaka chenu Kwa Sasa ni blaa blaa za Watumishi na sijui Shilingi imeshuka.
Mimi nilishaachaga kuku engage maana naona kama naongea na kichaa.
Usiwe kama MSENGE.
Mimi nimefanya hiyo biashara na niliwahi kuwa mchuuzi na mchimbaji mdogo.
Ilikua ukiwa una madini na hauna leseni basi inakua mali ya serikali,ila sasa hivi unaweza kwenda kuuza pasi na leseni na unakatwa 10% kama kodi.
HII SERA ALIILETA MAGUFULI MSENGE WEWE.
Kabla hajafa alishaongea na mabenki kuwezesha mikopo kwa wachimbaji wadogo.
Pia kuhusu vituo vya afya kuna vituo vya afya vingi tu na zahanati zilizojengwa kipindi chake.
Ila sekta zifuatazo Samia Yuko level zake
-Elimu
-Afya
-Uchumi& Biashara
-Barabara hasa Vijijini (TARURA)
-Kilimo na Uvuvi
-Maji
-Umeme na Nishati Safi ya Kupikia.
-Mapato
-Utalii
-Sekta ya Anga
-Ajira
-Usimfananishe Magufuli na huyo mpuuzi mwenzako mvaa ushungi.
*Umeme hii sekta ni Magufuli ambaye aliiweka na ikawa sawa.Pasi na stiglers gorge hadi sasa tusingekuwa na umeme wa uhakika.Acha uchawa wa KISENGE na usini engage mimi kama unaleta mada za kichawa.
*Elimu kama isingekua Magufuli kuweka elimu bure basi hadi sasa watu wasingefurika mavyuoni.
Sera ya elimu bure iligusa hadi raia mafukara ambao walikua wanashindwa michango lukuki ya shule za serikali kipindi hiko.
*Uchumi upi unaouzungumzia wewe ilhali una madeni lukuki na kila siku shilingi yako inaporomoka!?
Hivi haujui kama Tanzania haina tena hadhi ya middle income!?
*Sekta ya anga nani alijenga terminal 3 na kuanza ununuzi wa ndege!?
Au unajisahaulisha hapa!?

Usiniletee ufala wako hapa.
Usini engage kabisa.
 
Mkuu sawa basi tuangalie kwa upande mwingine elimu. Kikwete aliweza ongeza idadi ya shule za sekondari zaid ya mara kumi na vyuo vikuu almost nusu , mkuu unarecord yoyote ya ujenzi wa shule mpya au chuo chochote kipya kipindi Cha magu?
View attachment 3133203
Kikwete alianzisha ujenzi wa hospitali kama Benjamin mkapa, mlonganzila,JKCI NA Maboresho kadha wa kadha kwenye afya mkuu una data za maboresho yoyote yanayomgusa Moja kwa Moja mwananchi kipindi Cha magu.
2005 mwalimu au mtumishi ngazi ya degree alipokea mshahara wa 140,000 na Kila mwaka kukiwa Kuna ongezeko yaan annual increment, mpaka mwaka 2011 tgs d akawa amepandishiwa mpaka 449,000 ongezeko la zaid asilimia 200 na Kila mwaka kulikuwa na ajira.
Je una habari toka kikwete ametoka madarakani mshahara wa tgsd umekuwa ni 710,000 mpaka magu anatoka madarakani hakuwahi kuongeza hata Senti huku akizuia upandaji wa madaraja na akaondoa mpaka Ile annual increment.
Miradi hiyo michache ya sgr ,bwawa, umeme kwa sababu ya ukubwa inatupofusha na kusahau kuwa Kuna mahitaji mengi zaid ya ujenzi tu.
Leo hii ukiienda Kila ofisi Kuna uhaba wa watumishi huku tuna vijana kibao tu mtaan na hii inatokana na gap la kutoajiri alilolitengeneza magu.
Hata ukiangalia miradi tukiachana na hiyo tajwa hivi kujenga geita, sumbawanga,rukwa na chato airports kulikuwa na umuhimu kuliko barabara. Leo hii rukwa huko na chato ndege zinatua mara chache huku Hela ikiwa imelala
JK aliwekeza sana kwenye sekta za Huduma Kwa jamii hususani Elimu ,hapa anastahili credits za kutosha.

Sekta zingine ambazo alifanya vizuri ni ujenzi wa Barabara , Uchumi,biashara na uwekezaji.

Aidha Ajira zilikuwa bwerere kiasi kwamba watu waliacha kazi sekta ya Umma wakaenda sekta binafsi.

Alijaribu kwenye Kilimo hakufaulu sana lakini awamu ya 4 ilikuwa nafuu kuliko awamu ya 5.

Mwendazake alikuja kuvuruga Kila kitu badala ya kurekebisha mapungufu.
 
Mimi nilishaachaga kuku engage maana naona kama naongea na kichaa.
Usiwe kama MSENGE.
Mimi nimefanya hiyo biashara na niliwahi kuwa mchuuzi na mchimbaji mdogo.
Ilikua ukiwa una madini na hauna leseni basi inakua mali ya serikali,ila sasa hivi unaweza kwenda kuuza pasi na leseni na unakatwa 10% kama kodi.
HII SERA ALIILETA MAGUFULI MSENGE WEWE.
Kabla hajafa alishaongea na mabenki kuwezesha mikopo kwa wachimbaji wadogo.
Pia kuhusu vituo vya afya kuna vituo vya afya vingi tu na zahanati zilizojengwa kipindi chake.

-Usimfananishe Magufuli na huyo mpuuzi mwenzako mvaa ushungi.
*Umeme hii sekta ni Magufuli ambaye aliiweka na ikawa sawa.Pasi na stiglers gorge hadi sasa tusingekuwa na umeme wa uhakika.Acha uchawa wa KISENGE na usini engage mimi kama unaleta mada za kichawa.
*Elimu kama isingekua Magufuli kuweka elimu bure basi hadi sasa watu wasingefurika mavyuoni.
Sera ya elimu bure iligusa hadi raia mafukara ambao walikua wanashindwa michango lukuki ya shule za serikali kipindi hiko.
*Uchumi upi unaouzungumzia wewe ilhali una madeni lukuki na kila siku shilingi yako inaporomoka!?
Hivi haujui kama Tanzania haina tena hadhi ya middle income!?
*Sekta ya anga nani alijenga terminal 3 na kuanza ununuzi wa ndege!?
Au unajisahaulisha hapa!?

Usiniletee ufala wako hapa.
Usini engage kabisa.
-Unavuja mapovu badala ya kuleta ushahidi,leta hapa ushahidi wa Magufuli akisaidia wachimbaji mikopo na vifaa vya kuchimbia Ili tulinganishe maana Mimi Nina ushahidi wa live Samia alifanya hayo,kupayuka hakutakusaidia.

-Kwani aliyefuta ada primary ni nani si ni Mkapa? Magufuli alifuta ada ya form 4 ambayo ilikuwa 20,000 nayo hii alipunguza JK kutoka 40,000. Hiyo Elimu Bure ya Magu ni ipi? Mbona husemi alituongezea makato ya bodi ya mikopo na kuleta wizi wa riba na penati? Vyuo Vikuu alivyojenga ni vipi Hadi watu wafurike? 😂😂

Hapo hapo kwenye Elimu Samiambaa ushungi amefanya yafuatayo

Amefuta ada ya form 6

Amefuta wizi wa penati na riba bodi ya mikopo

Ameleta mikopo Kwa Diplomas on top of Universities

Anajenga Vyuo Vikuu na kupanua Vyuo Vikuu Nchi nzima,hakuna Mkoa hauna University au Campus Kwa Sasa

Amejenga na anajenga maelfu ya shule Mpya,huwezi sikia Watoto wanakaa chini au wanaenda shule Kwa mafungu kama awamu ya 5

Amejenga Vyuo vya Ufundi (VETA)Wilaya zote 64 Kwa mpiga na Mikoa 5

Amebadili sera ya Elimu

Na amewarjesha wale walionyonwa fursa ya Elimu na kina Magu Kwa visingizio vya Mimba.

-Kwani bila hiyo stiglazi kulikuwa hakuna miradi mingine? Hiyo so ni uamzi wake binafsi lakini hata bila huo umeme wa kutosha ungepatikana Kwa miradi mingine mfano gasi ambayo Mwendazake aliachana nayo.

Hata Sasa baada ya stiglazi kwisha miradi mingine inaendelea eg Malagarasi Hydro,Kakono Hydro,Kishapu Solar, Geothermal,Gesi Mtwara na Mingine Mingi tuu huko Njombe eg Rumakali.

-Tangu lini Nchi hii ilikosa Madeni? Awamu ya Mwendazake hamkukopa nikuwekee takwimu? Uchumi unapata kuliko kawaida na wewe unaona huko mtaani ,thamani ya Shilingi mwaka 2026 sio sawa na Mwaka 2021 ,ilishuka.Swali ni Je baada ya kushuka uchumi ukishuka? Currency value has nothing tangible to do with economic growth,hiyo ni medium of exchange tuu unless ujinga unakusumbua.

-Sikia huyu mbuzi ,eti Tanzania sio Middle Income 😁😁,weka ushahidi wa huu ujinga wako

-Terminal 3 ndio vitu gani wakati Viwanja vya ndege 15 viko under construction na vingine 7 kwenye usanifu across Tanzania? Kununua ndege ndio kuimarisha sekta ya Anga? Kabla hazijanunuliwa ndege zilikuwa haziji hapa Tanzania? Nonsense

Mwisho ngoja nicheke 😂😂😂😂😂,Mzee nitakuwa engage so long as unapotosha Ili kuweka takwimu sawia.

Soma hizi takwimu hapa Kwa maumivu harafu umwage povu 😁😁👇 👇
20240513_123231.jpg
20240513_115046.jpg
20240513_115049.jpg
20240513_123234.jpg
 
Umeira by Master Fabricator.

Buy Kenya Build Kenya.

May be an image of text


View attachment 3133062
We had body builders here in TZ until early 2000s .. they lost the bussiness due technology advancements and sophistications in manufacturing where it was impossible to compete with the high end products . . If there is a typical wastage of time in business in today’s world, is trying to re-invent a vehicle. Something watu walishafanya wakamaliza century’s ago.
especially in Poor countries like Kenya with highest levels of poverty, lack of technology, lack of capital , you eventually end up with these BJ50 (Blow Jobs 50)
EB108B8C-96D3-48B6-BF9D-5CCA8F35DDA1.jpeg
A8A2DE89-A1E0-476A-907C-D1F99247B47B.jpeg
 
Wewe unashikilia barabara tu ndio shida yako.
Sehemu zingine huendi unaganda katika barabara tu.
Tena barabara zenyewe zimejengwa chovu chini ya kiwango.
Magufuli kafanya makubwa zaidi ya kiongozi yeyote yule.
Kutokukamilika kwa miradi ni kifo chake tu.
Kwani Kikwete alitimiza miradi yake yote!?
Daraja la Kigamboni alianza nani ujenzi na alimaliza nani ujenzi!?
Mnaonaje mkifungua uzi wa Battle ya Kikwete na Magufuli? Sababu naona mnatuharibia uzi tu.
 
Wewe unashikilia barabara tu ndio shida yako.
Sehemu zingine huendi unaganda katika barabara tu.
Tena barabara zenyewe zimejengwa chovu chini ya kiwango.
Magufuli kafanya makubwa zaidi ya kiongozi yeyote yule.
Kutokukamilika kwa miradi ni kifo chake tu.
Kwani Kikwete alitimiza miradi yake yote!?
Daraja la Kigamboni alianza nani ujenzi na alimaliza nani ujenzi!?
🚮🚮
 
Huwezi kupunguza foleni kwa kupanua barabara. Baada ya muda zitakuwa hazitoshi,tE mpaka wapi? RELIABLE PUBLIC TRANSPORT NDIO INAONDOA KERO YA FOLENI. una majiji makubwa duniani yana barbara pana na za kisasa lakini foleni iko pale pale. Mwendokasi haijawekwa kuremba mji ni njia sustainable ya kuondoa kero ya foleni. Inakupoa option uamue kukaa kwenye gari yako masaa mawili au upande bus 25 minutes kufika mjini. Tumefanya uzembe kwenye uendeshaji awamu ya kwanza ndio maana tumefika hapa. Mradi ulianza vizuri na watu wengi walikuwa wanaacha magari lakini kama kawaida yetu upuuzi wa jadi tujauharibu mradi wenye wamagari wakarudia magari yao.
Boss , hiyo miji yenye njia nane hadi 10 na bado kuna foleni unadhani hakuna reliable means of public transport?
Kitu kinachopelekea foleni kubwa zaidi ni kuongezeka kwa magari binafsi barabarani, suala la foleni ni suala mtambuka, lazima kuwa na namna kadhaa za kukabikiana nalo, sio namna moja . Kwa mfano . Unatakiwa uwe na Mwendokasi, Reli nyepesi, metro, barabara ziwe pana (hii muhimu sana), express ways , zote hizi kwa pamoja Ziasaidiana kurahisisha mobility.
Sijaelewa kama kweli uko serious kujustify ujenzi wa kadaraja kembamba pale jangwani wakati tunajua dar ni Mega city na idadi ya watu inaongezeka kwa kasi na idadi ya magari inakuwa kwa kasi,
Tayari Ubungo- Kimara pesa za walipakodi zinafujwa kwa upanuzi wa hiyo barabara, something ambayo viongozi wetu hawa low IQs walitakiwa walione hilo wakati wa ujenzi wa brt phase one.
In less than 10 years itatakiwa expansion ifike hadi Fire . Unaelewa? We are just lucky sababu watu wachache sana nchini wanamiliki magari binafsi. Otherwise ingekuwa ni chaos .
 
Boss , hiyo miji yenye njia nane hadi 10 na bado kuna foleni unadhani hakuna reliable means of public transport?
Kitu kinachopelekea foleni kubwa zaidi ni kuongezeka kwa magari binafsi barabarani, suala la foleni ni suala mtambuka, lazima kuwa na namna kadhaa za kukabikiana nalo, sio namna moja . Kwa mfano . Unatakiwa uwe na Mwendokasi, Reli nyepesi, metro, barabara ziwe pana (hii muhimu sana), express ways , zote hizi kwa pamoja Ziasaidiana kurahisisha mobility.
Sijaelewa kama kweli uko serious kujustify ujenzi wa kadaraja kembamba pale jangwani wakati tunajua dar ni Mega city na idadi ya watu inaongezeka kwa kasi na idadi ya magari inakuwa kwa kasi,
Tayari Ubungo- Kimara pesa za walipakodi zinafujwa kwa upanuzi wa hiyo barabara, something ambayo viongozi wetu hawa low IQs walitakiwa walione hilo wakati wa ujenzi wa brt phase one.
In less than 10 years itatakiwa expansion ifike hadi Fire . Unaelewa? We are just lucky sababu watu wachache sana nchini wanamiliki magari binafsi. Otherwise ingekuwa ni chaos .
Huko kuna reliable transport mtu ana option akae kwenye foleni au atumie public transport ya kueleweka. Kwetu sisi mwenye gari kuacha na kugombea daladala sio rahisi.
 
Back
Top Bottom