ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Ooh God .. Cc ichoboy01 Isikupite hii mwenye kiti 😂😂👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DBV1ftDNzWy/?igsh=MWpzeDI3OW92dnJxbw==.
Mara mwisho kusikia ghoroma limedondoka lenyewe bongo ilikuwa mwaka gani vile na SI ndo wanajiita wasomi wa east africa, inakuwaje wao ndo wanaongeza kwa kuangusha maghorofaHiii ndio CBD ya Naipori 🤣🤣🤣
hii ni battle nzuri sanaKulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.
1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation
Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
Ngoja nikuvunjie ili uelewe vizuriMji = Wastani
Jiji = ukubwa
Kijiji = udogo.
Hapo hamna direct translation kwa kizungu maanake kwa kizungu Kuna Town na City tu, hakuna wastani. Juu ya hilo, neno mji linaweza tumika kuongelea both City na Town. Mnajifanya wajuaji kumbe hamna mnachojua.
Duh hawa nyangau wana shida sana aiseeNaangalia CNN Inside Africa. Mtangazaji anasema 70% Nairobians wanaishi kwenye makazi hayo hapo chini
View attachment 3130695View attachment 3130696View attachment 3130697View attachment 3130698View attachment 3130699
Hujui DSM unaongea tuu.Kwa hivo CBD ikionekana inamaanisha hapo ni CBD? Enyewe Bongolala ni Bongolala. 😂 😂
Kwa hiyo Kiswahili sio Kiarabu tena; mbona sasa unatuchanganya wewe mzungu feki?Kiswahili ambacho kimeanzia Kenya ndio unaniambia nisishindanie?🤣🤣
najaribu kuwakumbusha tu😂😂😂Sasa Leta zingine tisa. Kumbuka niliwachallenge mkileta electric vehicles 10 nahama JF😂😂
haya tayari maji na mafuta yanajitenga
View: https://www.instagram.com/reel/DBV7QxaKYcY/?igsh=bnBlYjJscXh6anNr
haya tayari maji na mafuta yanajitenga
View: https://www.instagram.com/reel/DBV7QxaKYcY/?igsh=bnBlYjJscXh6anNr
Hapana, uliza sama boy. Meru ni mji/CBD.Nairobi ni Jiji/City
Meru ni mji/Town
Usitafute justification za kijinga kujiridhisha.
Iko peri urbanKwa hivo Nairobi Terminus haipo kwenye urban area? Wacha ushenzi.🤣
Nani kasema Kiswahili ni kiarabu wee mgonjwa? Kiswahili ni Kingozi kutoka Lamu.Kwa hiyo Kiswahili sio Kiarabu tena; mbona sasa unatuchanganya wewe mzungu feki?
Ooh God .. Cc ichoboy01 Isikupite hii mwenye kiti 😂😂👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DBV1ftDNzWy/?igsh=MWpzeDI3OW92dnJxbw==.
Kama hiyo ni peri urban basi hamna urban area yoyote Vumbistan.🤣🤣🤣Iko peri urban
sio kila mwaka karibu kila mwezi 😂😂😂Hawa jamaa Kila mwaka wanaangusha maghorofa tu