Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Twiga Stars imehseheni wasichana wanaocheza kimataifa. Abroad ya wachezaji wa kike wa Kenya ni Tanzania

1729266369940.png
 
Endelea kupinga.


Tulishazoea tabia zenu mbovu za kudanganya ulimwengu. 🤣 🤣 🤣 🤣 Hakuna kipya ulichoandika.
 
Wewe bwege Mimi najua kuliko wewe,hiyo Barabara haijakamilika Bado Iko around 70%.

Watu wanataka Barabara ndio zinawasaidia kuinua uchumi wao sio reli 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DBRTpdnN-Ka/?igsh=bzFxa3VkOWZiamox

Kama hujui kitu omba kuelimishwa hivi hiyo video imezungumzia kyerwa wapi, Mimi nimekuwekea ruangwa ambayo kadri ya ramani yako ni vumbi wewe unaleta ya kyerwa
Video inazungumzia Lindi wewe umeweka maelezo ya bukoba. Acha kukurupuka kubali ramani yako Ina kasoro tu
Screenshot_2024-10-18-18-52-50-18_3d9111e2d3171bf4882369f490c087b4.jpg
 
Teargas anaumia... 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇


Klabu ya Trabzonspor ya Uturuki kupitia ukurusa wake wa Instagram @tskadinfutbol imeandika kuhusiana na kuitwa kwa nyota wa Tanzania Diana Lucas kwenye kikosi cha timu ya Taifa @twigastarstz . kitakachocheza dhidi ya Morocco na Senegal mwezi huu

View attachment 3128879
You are just a foolish gay. So club ikiandika ayi player yao imeitwa to play national matches pia ni kitu ya kutuwekea hapa? Alafu huyu ni mwanaume ama mwanamke?😂😂
 
Mizigo Mingi ipi hiyo kiasi kwamba reli zinasafirisha na yet Zina register loss Kila mwaka? Uko timamu upstairs?
Kimsingi reli na barabara vyote ni muhimu na vinategemeana. Matumizi ya reli kwanza hufanya bei za usafirishaji kuwa chini na pia husaidia kupunguza uharibifu wa barabara
 
yani wao data za uongo na kweli wanahisi ndio zinawapa nafuu kumbe zinazidi kuwaangamiza 😂😂😂😂

leo kenya 2024 haina hata mradi mmoja serekali inajenga, serekali yao haina hata pesa ya kulipa mishahara madaktari wala waalimu 😂😂😂
Tangu wamalize uchaguzi 9 August 2022 bado wapo kwenye election mode. Campaign kila siku na kutaka kung'oana kwenye uongozi. 🤣 🤣 🤣 Watapata wapi muda wa kujadili maendeleo?
 
Kimsingi reli na barabara vyote ni muhimu na vinategemeana. Matumizi ya reli kwanza hufanya bei za usafirishaji kuwa chini na pia husaidia kupunguza uharibifu wa barabara
Kama reli ni nafuu Kwa nini matajiri wa Tazara au wengine hawatumii huo usafiri?

By the way reli ni ya maana kama kuna mizigo hakuna maana ni hasara.

Barabara kwanza reli baadae
 
Shy bhana inaniacha hoi sana, kimiundombimbinu ndani ya mkoa wa shinyanga pale mjini kati (wilaya ya shinyanga) ndio pamejengwa miundombinu vizuri kabisa ila Kahama ndio imechangamka kuliko zaidi..
Shinyanga inafinywa na Kahama na Mwanza on each side imebaki kuwa administrative seat tuu ya region na ndio maana serkali haitaki kuipa kahama hadhi ya manispaa wanaogopa ita overshadow Shinyanga.
 
yani wao data za uongo na kweli wanahisi ndio zinawapa nafuu kumbe zinazidi kuwaangamiza 😂😂😂😂

leo kenya 2024 haina hata mradi mmoja serekali inajenga, serekali yao haina hata pesa ya kulipa mishahara madaktari wala waalimu 😂😂😂
Wana data za miaka ya nyuma sana. Ukiingia website ya tanroad Kuna barabara zinasomeka kuwa Bado kuisha mfano daraja wami, ruangwa- nanganga lakini hizi zote zimekamilika . Pia kukamilika mara nyingi pale ufunguzi unapofanyika bila hivyo itaendelea kusoma incomplete Ishakamilika kitambo.
Kimsingi reli na barabara vyote ni muhimu na vinategemeana. Matumizi ya reli kwanza hufanya bei za usafirishaji kuwa chini na pia husaidia kupunguza uharibifu wa barabara
Barabara zinajengwa sana tu ila watu hawataki kukubali na ishu ni sababu tushaweka negativity kwa Samia
 
Back
Top Bottom