Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama mlijua Barabara ni za muhimu Kwa nini mlitumian 10.7T kujenga reli km 722 na miundombinu yake?

Huu ndio ufala Sasa,hiyo pesa inatosha kujenga expreway Barabara zote kubwa hapa Tanzania
Reli ina umuhimu wake na imeonesha umuhimu hadi kufikia sasa.
Usilete excuses hapa na serikali yako ya mama kizimkazi.
Kwahiyo wewe ulitaka isijengwe!?
 
Reli ina umuhimu wake na imeonesha umuhimu hadi kufikia sasa.
Usilete excuses hapa na serikali yako ya mama kizimkazi.
Kwahiyo wewe ulitaka isijengwe!?
Shida uyu kizimkazi ana ufuatiliaji pesa zinazojenga kigongo busisi ambayo ni almost imeisha almost 700 billion na zile za bwawa la Mwalimu Nyerere ambalo limeisha almost 7 trillion ziamishiwe kwenye kujenga express way ya 8 line from Dar to Dodoma
 
Shida uyu kizimkazi ana ufuatiliaji pesa zinazojenga kigongo busisi ambayo ni almost imeisha almost 700 billion na zile za bwawa la Mwalimu Nyerere ambalo limeisha almost 7 trillion ziamishiwe kwenye kujenga express way ya 8 line from Dar to Dodoma
Uchawa umemuharibu akili huyu.
Barabara zenyewe basi wajenge kwenye ubora, barabara zinajengwa ndani ya mwaka mvua ikipita mashimo kibao.
 
Shida uyu kizimkazi ana ufuatiliaji pesa zinazojenga kigongo busisi ambayo ni almost imeisha almost 700 billion na zile za bwawa la Mwalimu Nyerere ambalo limeisha almost 7 trillion ziamishiwe kwenye kujenga express way ya 8 line from Dar to Dodoma
Kizimkazi Hana ufuatiliaji wa fedha hazina
 
Reli ina umuhimu wake na imeonesha umuhimu hadi kufikia sasa.
Usilete excuses hapa na serikali yako ya mama kizimkazi.
Kwahiyo wewe ulitaka isijengwe!?
Subiria taarifa za hasara Kwa CAG,mwakani sio mbali.

Mwisho umuhimu wa reli ni pale tuu ambapo basic infrastructures tayari ziko Kila Kona.

Mikoa 15 hazijaunganishwa na Barabara za Lami unasema reli Ina umuhimu? Umewahi sikia wapi watu wanataka Serikali iwajengee reli badala ya Barabara?

Reli ni muhimu uchumi ukisha mature na si vinginevyo,so walaumuni waliofanya maamuzi.
 
Kama mlijua Barabara ni za muhimu Kwa nini mlitumian 10.7T kujenga reli km 722 na miundombinu yake?

Huu ndio ufala Sasa,hiyo pesa inatosha kujenga expreway Barabara zote kubwa hapa Tanzania
Unajielewa hata unachoongelea? Hiyo reli kuna cha muwekezaji? Treni zinalipishwa toll?

Mbona kipindi tumewekeza kwenye reli miundombinu mingine ilikua inaenda fresh?

Kwani tulikua tunajenga reli tu?
 
Subiria taarifa za hasara Kwa CAG,mwakani sio mbali.

Mwisho umuhimu wa reli ni pale tuu ambapo basic infrastructures tayari ziko Kila Kona.

Mikoa 15 hazijaunganishwa na Barabara za Lami unasema reli Ina umuhimu? Umewahi sikia wapi watu wanataka Serikali iwajengee reli badala ya Barabara?

Reli ni muhimu uchumi ukisha mature na si vinginevyo,so walaumuni waliofanya maamuzi.
Mkuu issue sio kujenga reli au Barabara issue ni upigaji .. hii nchi ukiamuwa ukaondoa upigaji unawezajenga, reli, bandari, barabara tena za kisasa meli kama tuko seriously.
 
Magufuli aliamua tu siku moja akajenga Kimara mpaka Kibaha 19km, angekuwepo mpaka leo hio barabara ingekuwa ishafika Chalinze.
Alafu kuna huyo anadai eti tungeziweka hela ya Reli kwenye barabara wakati kuna miradi mingi ilikua inatimua kasi nje ya Reli na yoye ya Matrilioni.

Like seriously 30km wameshindwa eti mwekezaji? Mwendokasi imewashinda eti mwekezaji, Vivuko vimewashinda.

Ndio iwe barabara.

Just ona utofauti JK alishindwa Daraja la Kigamboni mpaka liwe na Toll wakati the longest bridge Kigogo Busis lipo free no toll.
 
Unajielewa hata unachoongelea? Hiyo reli kuna cha muwekezaji? Treni zinalipishwa toll?

Mbona kipindi tumewekeza kwenye reli miundombinu mingine ilikua inaenda fresh?

Kwani tulikua tunajenga reli tu?
Wewe ndio hujielewi,hoja ni Mwekezaji amekataa kujitojeza mnataka ijengwe Kwa pesa za kawaida.

Swali pesa zinatoka wapi ikiwa mnatumia 10.7T kujenga Sgr ya Dar-Makutopora km 722?

Hiyo pesa ingetosha kujenga expressway zote kubwa Tanzania na kuunganisha Mikoa 15 iliyosalia Kwa Barabara za Lami.

Acheni ufala
 
Mkuu issue sio kujenga reli au Barabara issue ni upigaji .. hii nchi ukiamuwa ukaondoa upigaji unawezajenga, reli, bandari, barabara tena za kisasa meli kama tuko seriously.
Upigaji ni dhana , upigaji hapa Tanzania upo ila haufiki hata 30% ya pesa za Umma.

Shida ya Nchi hii ni poor strategic decion making

Vipaombele vya kipuuzi na

Ujenzi wa kutsoanya Rasilimali badala ya kuanza na chache kuzikamikisha Kwa wakati ndio zingine zifuate.
 
https://atta.travel/resource/tanzan...tion-center-to-boost-conference-tourism.html#
26 Mar 2024

Tanzania's New Arusha Convention Center to Boost Conference Tourism​

comvetion-pixels (1).jpg


Tanzania is finally moving forward with plans for the long-awaited Mt. Kilimanjaro International Convention Centre (MK-ICC) in Arusha. The ambitious $116 million first phase is set to begin construction soon and aims to be completed in 2027.

The state-of-the-art MK-ICC will feature a massive main hall, shopping malls, restaurants and five-star hotels on 21 acres near Arusha's city center. Officials say the new world-class venue will allow Tanzania to become a leading African destination for conventions, exhibitions, and entertainment events.

"MK-ICC will coincide with hosting our largest ever international conference in 2027, boosting convention tourism," said outgoing Arusha Convention Centre MD Ephraim Mafuru. The project has been 18 years in the making to expand Tanzania's conference facilities.

 
Alafu kuna huyo anadai eti tungeziweka hela ya Reli kwenye barabara wakati kuna miradi mingi ilikua inatimua kasi nje ya Reli na yoye ya Matrilioni.

Like seriously 30km wameshindwa eti mwekezaji? Mwendokasi imewashinda eti mwekezaji, Vivuko vimewashinda.

Ndio iwe barabara.

Just ona utofauti JK alishindwa Daraja la Kigamboni mpaka liwe na Toll wakati the longest bridge Kigogo Busis lipo free no toll.
Awamu hii wako busy na miradi inayoweza kuwapa shares.
 
Upigaji ni dhana , upigaji hapa Tanzania upo ila haufiki hata 30% ya pesa za Umma.

Shida ya Nchi hii ni poor strategic decion making

Vipaombele vya kipuuzi na

Ujenzi wa kutsoanya Rasilimali badala ya kuanza na chache kuzikamikisha Kwa wakati ndio zingine zifuate.
Wengi hawajui kinachoendelea na mara nyingi tunakimbilia kuwa Kuna upigaji bila hata kufanya comparison na wenzetu , wengi tunafanya comparison kipindi Cha magufuli kwamba alifanya mengi na kumshusha mama Samia kwamba kwa kipindi chake ni upigaji tu bila kuangalia yaliyofanyika ndani ya kipindi chake. Wabongo tunapenda uongozi wa kuumizana , mfano watu wakiona utumbuaji wa hadharan wanajua ndo kazi inafanyika kumbe underground watu wanajipigiq .
Reli ni muhimu sana katika kukuza uchumi maana inashusha gharama ya usafiri hivyo kushusha gharama ya bidhaa.
Mataifa kama china na japan wamefanikiwa sana mchango mkubwa ukiwa ni pamoja na reli kwa sababu imewarahisishia kusafirisha bidhaa zao kwa gharama ndogo wakicompete na mataifa kama marekani ambao kwao reli Bado sana.
Kwa mfano kutoka songea- dar tonne 1 ya mahindi inatozwa 150,000 mpaka 160,000 kwahiyo ukiwa na tonne 30 unahitaji 4,500,000 lakini kwa Bei za trc kutoa mzigo kama huo kigoma kwa wameweka 1,500,000 Sasa kama kungekuwa na reli haya mahindi yangeweza kufika dar Bei rahisi na ndo maana mazao ya songea Huwa ya mwisho kabisa mpaka mikoa mingine kama moro, Dom,manyara yaishe ndo waanze kufuata huko.
Na huko barabara ni ya lami mpaka dar, lakini kutoka na wingi wa malori hasa ya makaa ya mawe barabara karibia zote za kuingia songea zimeharibika na tukisema tujenge barabara nzito kwa km SI chiini USD 1mil kwa barabara ya mfano wa iringa makambako na Bado zitakuja haribika tu
 
Wewe ndio hujielewi,hoja ni Mwekezaji amekataa kujitojeza mnataka ijengwe Kwa pesa za kawaida.

Swali pesa zinatoka wapi ikiwa mnatumia 10.7T kujenga Sgr ya Dar-Makutopora km 722?

Hiyo pesa ingetosha kujenga expressway zote kubwa Tanzania na kuunganisha Mikoa 15 iliyosalia Kwa Barabara za Lami.

Acheni ufala
kwani SGR imeanza kujenga Leo. SGR imeanza miaka mitano iliyopita ilikataza kujenga Kwa bwawa la Nyerere, kigongo busisi bridge
 
Back
Top Bottom