Mnapenda sana wawekezaji? Kisa nini?
$3bn haiwezi tengwa kufikisha njia 6 Morogoro na kujenga Six way lane outer rings roads kwenye mikoa yenye traffic kubwa ya magari kuingia na kutoka. Mbona JNHPP iliwezekana, Busis iliwezekana, ufufuaji wa ATCL uliwezekana, MAGUFULI CITY iliwezekana.
Ndio tushindwe hizo. Ikiwa mnakusanya sijui $2bn kwa mwezi why msitenge $100m kila mwezi kwenye kujenga Dar Moro Expressway.
Mbona Kimara Kibaha iliwezekana kabisa plus Mkandarasi ni wa Ndani Estim Construction? Mbona tukilipa pesa inazunguka hapa hapa, Mind you now wachina ni wengi hapa hawatakua na shida for Equipment Hire.
Priority, PPP ufala tu. PPP zifikiriwe nchi ikiwa na stability ya uchumi not now mtu aje na kamtaji mbuzi kuvuna kwenye rasmali za nchi za Matrilion.
Mambo ya sijui kusubiri wawekezaji JNHPP tusingekua nayo, Railway tungekua na Mtungi wa chang'aa, Umeme ungekua kero, Airports zingekua zimechakaa, Tungekua bado tunazunguka Kenya kuingia mara kutokea Arusha, EACOP ingeenda, Kuhamisha makao Dodoma zingekua story.
Tukitaka naendeleo ya Kweli yenye tija ishaonesha we Have to DO IT OURSELVES, HAKUNA MTU WA NJE (MWEKEZAJI) anaweza FANYA MAMBO MAKUBWA KWA NCHI unless hii NCHI INAJITAMBUA (LIKE WEST) Na KUJITAMBUA KUNAKUJA KWA KUONESHA UNAJIWEZA BILA MSAADA WOWOTE.