ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,268
Ndio mpaka wawekezaji wa PPP wapatikane sio tuu walioo tayari Bali wenye uwezo pia.Bukina faso ? Em watupunzishe na story za kingese. Mradi wa Barabara ya Highway Kibaha - Morogoro kwa sasa ni Priority, serikali iwe serious kwenye hili, Story ni nyingi sana kuliko matendo. Tabu sana kuongozwa na School dropout with average iq.
Stori zimekuwa nyingi Kwa sababu hawajapatikana.
Mwisho hivi Mwekezaji gani atajenga Barabara Kwa vipisi vipisi kiasi hicho atapataje faida? Kwa nini isiwe Barabara yote kuanzia Dar-Moro-Dom?