Hapa bongo mtu unapiga tungi mpaka unasahau na huibiwi. Mambo ya kuibianq simu kwa kunyanganya yashapitwa na wakati. Sasa hivi Kila mtu Yuko busy kutafuta Hela. Mwakani utasikia
Tanzania kuongeza katika uzalishaji wa
1. Ufuta
2.mbaazi
3.dengu
4. Soya
Hayo ni mazao ambayo yanapigiwa chapuo Sasa kutokana na soko lake kutanuka. Kwa mwaka 2023/24 mkoa wa mtwara umeongeza uzalishaji wa ufuta kwa zaidi ya 50% ndani ya mwaka mmoja na matarajio kwa mwaka unatakao ishia 2024/2025 ni kuongeza zaid ya nusu ya mwaka uloishia