Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi nilishachoka kusema kabisa.
Hivi hio Barabara wanashindwa kuipanua at least each year Km 30 tu kwa pesa za ndani.
Hiv hela wanazopata wanazipeleka wap...mpaka waanza kulipisha watz kwenye Barabara muhimu kama hio? Tayari magari yana mikodi mikubwa na sasa bado watu walipe tena kutumia Barabara.

Na nakwambia hakuna mtu atawekeza kwenye hiyo Barabara huku akiona SGR iko pale na Barabara ya zamani ipo pale. Na naomba wasipatikane ili Serikali ipate akili
Boss , serikali hii haiwezi pata akili , mna waziri wa fedha mkora kupindukia, plus mama nae hajui hata kinachoendelea kwenye nchi anayoiongoza, actually mama uwezo ni wa kawaida sana upstairs. Plus viongozi wenu they don’t feel the pinch sababu hawatumii hiyo barabara wao wanasafiri kwa ndege ,
Unadhani ile B500 walitumia kununua mashangingi LC 300 new model ikiwa bado magari ya zamani wanayo si wangepeleka huku ?
Yaani ikiwa Daraja la Jangwani linachukua miaka nenda Rudi kushughulikiwa wala haishangazi kuona barabara ya Kibaha Morogoro inachukua miaka 10 mingine.
 
Picha ya 2007 niliipiga mimi. Asante kwa TBT
Kilaza alipiga hii picha eti hehehe.., 2011 camera gani hii ulitumia ulivyo fukara? sasa mmebomoa mkajenga apratments na mansions in 2024?.., niondolee upuzi nanii hehehe
1729140964542.png
 
Kwani mna nyingine zaidi ya haya, najaribu kuwa okoa, Nairobi nawapea tu old CBD.., nyie yenu yoote na bado, elewa bwana hamna mengi ni BRT tu., 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.., Mombasa mwenzenu na zaidi kidogo..,
Hiv mtu ukienda Dar city centre ukarekodi Ohio street, sokoine drive, maktaba street, shaban robert, samora avenue, Azikiwe, bibi titi, ocean road na mission street kwa kutembea video si itakuwa Dk 30 zote. Na hapo si umeshamalizana na Nairobi uptown kitambo kuanzia tom mboya, kimathi, banda street, muindi mbingu, kenyatta, Mama ngina, haile selassie,parliament street.
Yaani hio Nairobi ukivuka tu archives kuelekea huko chini Downtown ni majanga matupu ..kuna hadi barabara za vumbi mfano pale magari ya Kidia one yanapopark
Huko upperhill,sijui westlands,kilimani ni majengo tu hazfai kuwa CBD. Horizontal infrastracture ni poor sana... barabara zake hazina mitaro na ni poor quality
 
Haubadilishi ukweli ata ubweke hadi jioni.., ulete picha za kibera mara milioni., ukweli unabakia pale pale pale, kafie mbali

View: https://youtu.be/VNLqnwoJqmM

Your city is Dirty, Chaotic , Poor and Unsafe.
Did you Know that in Nairobi 1/10 individuals and thieves ? And the remaining 7/10 are potential thieves ?
Only 2/10 nairobians are well raised , studies say.
Tazama hii trial ya huyu jamaa na simu fake na namna averyone is trying his luck , kila mtu anajaribu bahati yake kutaka kumpora bila kujua jamaa amaweka chambo anarekodi, such manners ukijaribu dar we burn you to ashes .
The question is , how are you guys surviving in such hell ? Nairobi si ni jehanam hii ?
Watch this out mate 👇🏿👇🏿👇🏿

View: https://youtu.be/t07-s7ldirs?si=7RyMbRCQhWhOvqsq
 
Mbeya imezidi.
Huko kwingine unakodhani hakujazidi ni Kwa sababu Ardhi Yao ni mchanga wakati ya kwetu Mbeya ni powder yenye saruji ndani yake ndio maana hatuchomi tofari za kujengea,ukichoma xinapukutika.

Kwa hoja hiyo hakuna ilipoxidi.
 
Your city is Dirty, Chaotic , Poor and Unsafe.
Did you Know that in Nairobi 1/10 individuals and thieves ? And the remaining 7/10 are potential thieves ?
Only 2/10 nairobians are well raised , studies say.
Tazama hii trial ya huyu jamaa na simu fake na namna averyone is trying his luck , kila mtu anajaribu bahati yake kutaka kumpora bila kujua jamaa amaweka chambo anarekodi, such manners ukijaribu dar we burn you to ashes .
The question is , how are you guys surviving in such hell ? Nairobi si ni jehanam hii ?
Watch this out mate 👇🏿👇🏿👇🏿

View: https://youtu.be/t07-s7ldirs?si=7RyMbRCQhWhOvqsq

Mji wa kisenge sn Nairobi, kila mtu mwizi alafu mazingira ya hovyo, no improvement at all, no wonder wakipiga picha ni za mbali kuonesha vijengo viwili vitatu but they always avoid to show you horizontal infrastructures coz ziko hovyo mnoo, sisi tuna mapungufu lkn we improve our cities day in day out, ukija Dar utashangaa kila mahali ni ujenzi tu wa infrastructures, wao wamebaki vile vile na kelele zao. Huyo mchina kwenye hiyo video amesema kabisa hatowahi kurudi hiyo nchi. Kenya ni mavi alooo 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
TPA inabidi iongee na Uganda iwe ina run port bell terminal sisi tuwapelekee mizigo yao mpaka mlangoni mwao inakuwa no integrated service hakuna mganda kuja bandarini Dar kila kitu wayalipia hapo hapo port bell kwa local currency.
Ingekuwa hawa optimus wangeongea kama human controller wao aka mabwana zao vile wanataka 🤣🤣🤣
Aisee nikisema hapa Afrika Tanzania ina wana diplomasia bora kuna mbuzi katoliki wanabisha.
Huyu mama katoa nondo ngumu sana.
Hasa aliposema "hatutawaliwi kikoloni akilini" aisee huyu mama nimempa maua yake.
 
Visit Zambia first. Acha kuconclude haraka.
Mngejua hizo malls zinavyoharibu local economy msingekuwa mnaziongelea kabisa.



Check pitch kwanza. Yaani mambo yenu ni juakali juakali tu
View attachment 3127214
If you think Zambia has more malls than Kenya then you've clearly never been to both countries.

Alafu ni kawaida yenu kubash kitu ambacho hamna. Leo mnasema mall zinaharibu uchumi, kesho mall ikianza kujengwa kwenu Kila siku picha humu.
 
If you think Zambia has more malls than Kenya then you've clearly never been to both countries.

Alafu ni kawaida yenu kubash kitu ambacho hamna. Leo mnasema mall zinaharibu uchumi, kesho mall ikianza kujengwa kwenu Kila siku picha humu.
Visit Zambia my Friend.... zambia has over 500 Shopping malls.
Lusaka alone ina Malls kuliko kenya nzima.

Lakini kama nilivyosema Malls zinaharibu local economy zikiwa nyingi. Bora complex, plaza za kupangisha watu lakini sio malls maana hujaza mara nyingi famous brands sio local brands

Tanzania has a lot of Complexes, Shopping Centres na stores which are owned by local Tanzanians
 
Sawa. Unaijua Nairobi sana from Google. Hapo ni CBD. 🤣
Halafu mbona husemi tukusubscribe kwenye channel yako.
Kwa YouTube unaisifia Tanzania kwa jf unaiponda Tz...
Ulipita Rombo ukaanza kuchangaa jinsi watz wanavyotunza mazingira na kupanda miti. Kulima sana nk.

Ukaenda moshi kwenye garage ya bajaji ukapiga picha kuonyesha moshi pachovu.

Kimsingi ninajua Nairobi kuliko wew kuanzia Kitengela kajiado county mavumbini hadi juja kiambu huko na githurai45 mwisho wa Nairobi.
Mji wenye mdogo kama kidonge
 
Back
Top Bottom