much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 14,065
- 21,549
Manyang'au yana roho mbaya sana
Du Sasa hapo anasafisha Nini SI kuongeza mavi tuManyang'au yana roho mbaya sana
Inakuja Victoria, mganda hana pesa ya kupeleka railway malaba na hawezi kopesheka sababu hawezi lipa, mganda hana bandari wala mzigo wowote wa maana wa kuwa na sgr, anategemea mzigo wa transit to DRC na Sudan ambao bado economic benefits zake kwa Uganda ni ndogo sana, mchina pia hawezi kuwapa ninyi pesa kwenda malaba sababu tayari anatoa pesa kwa Tanzania
View: https://x.com/MwangoCapital/status/1846130394766496102?t=-fX2e0fsWeUbzTPC5J_rCQ&s=19
Cha ajabu Kenya ndo haikopeshekiRemember Kenya haijawaishindwa kulipa deni kama Tanzania. When talking about debts remember it's only Tanzania and Somalia ndio washaisamehewa deni hapa East Africa cause they couldn't pay.
Hapo treni imavuta 100 wagons inatumia umeme wa sh 1m mpaka mwanza 😁Yaan tunaweka tu dar-mwanza 40ft inakuwa USD 500, kwisha habar
Yaan tz inajenga km 1600 za reli kwa mkupuo Kenya km 550 zimewatoa jasho wakisema waongeze hata km 550 nyingine tunauza nchiVipi kwani na nyie mchina kakubali kufikisha malaba?
Hata ingekuwa inatumia umeme wa mil 10 Bado itarejesha Hela tuHapo treni imavuta 100 wagons inatumia umeme wa sh 1m mpaka mwanza 😁
TPA inabidi iongee na Uganda iwe ina run port bell terminal sisi tuwapelekee mizigo yao mpaka mlangoni mwao inakuwa no integrated service hakuna mganda kuja bandarini Dar kila kitu wayalipia hapo hapo port bell kwa local currency.Yaan tunaweka tu dar-mwanza 40ft inakuwa USD 500, kwisha habar
Wafi Square, Parklands, Nairobi
View attachment 3126590
View: https://web.facebook.com/wafi.investments/videos/1228591761492458
Mzee hawa washakwama nchi haina fiscal space ya ku maneuver bila IMF hapo ni kilio😁Yaan tz inajenga km 1600 za reli kwa mkupuo Kenya km 550 zimewatoa jasho wakisema waongeze hata km 550 nyingine tunauza nchi
Wakenya hawana akili mkuu.Ila Nairobi inatia aibu. Hapa ni Nairobi City Center. Kutoka kwenye video ya Bertin ya SGRView attachment 3126421
View attachment 3126416View attachment 3126417View attachment 3126418
Yaan kawachana mpaka nikaona aibu. Wenzetu tu hapo kwa wamisri watezungukaTPA inabidi iongee na Uganda iwe ina run port bell terminal sisi tuwapelekee mizigo yao mpaka mlangoni mwao inakuwa no integrated service hakuna mganda kuja bandarini Dar kila kitu wayalipia hapo hapo port bell kwa local currency.
Ingekuwa hawa optimus wangeongea kama human controller wao aka mabwana zao vile wanataka 🤣🤣🤣
Kundustan mbona Mko busy na minor issues? Hamna big projects za kutuobesha kama hizi za kwetu? 👇👇Saw this today in Ruiru. Last time I passed here there was no mall. Kenya is the capital of malls in Africa. Only South Africa have something on us.
View attachment 3126806View attachment 3126807
Enda ukabonge na ndugu zenu Somalia.Tatueni njaa kwanza na shida ya umeme ili uchumi usimame haya mengine ni bonus tuu 😁
Wanaplan miradi mingi ila karibia nusu ya project zote hazikamiliki.
Hakuna miradi mipya zaidi ya majengo , kwa Sasa hata barabara mpya zinazoanza kujengwa unaweza Kuta hazifiki hata km 300 . Nasisitiza zinazojengwa
Kama wazungu wanavyosema, Cope harder. 😂
Your fishing village is seeing dust. 😂😂
Nairobi is legit playing Joburg, Cape Town league. Upende usipende.