Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The pinnacle 70 floors 45 floors just about to rise up. The Crane is up and the foundation has started. Witnessing a game changer in Nairobi skyline right in front of our eyes
the pinnacle crane.jpg
 
Unaleta iliyopita c n kuji fixed mnajifixed na muliisoma kwa news paper za kenya usenge 2
Usitukane zungumza tu lugha ya kistaarabu, nilikuletea taarifa ya October 2017, au pia October ni mbali, kwani njaa inamalizika ndani ya muda gani?, mbona mimi nikikuomba ulete taarifa inayoonyesha kwamba njaa imeisha hutaki kuleta?, ungekuwa kweli wewe una akili nzuri ungepinga taarifa ya zamani kwa mpya, ungesema hii ni taarifa mpya inasema njaa imeisha, mbona huleti unabaki kupinga bila supporting facts?
 
Unaleta iliyopita c n kuji fixed mnajifixed na muliisoma kwa news paper za kenya usenge 2
Africa hunger, famine: Facts, FAQs, and how to help | World Vision
Hii taarifa imetolewa na World vision August 2017, imeiweka Kenya katika kundi moja la nchi zenye njaa kali na ya kudumu Africa, Somalia, South Sudan, Kenya, Ethiopia, sema ni nchi gani kati ya hizo iliyopunguza njaa?, lete ushahidi acha kulalamika bila ushahidi, Uhuru Kenyatta amekiri, wewe bado unapinga, kama hutaki njaa njaa unaona aibu njoo Bongo
 
Usitukane zungumza tu lugha ya kistaarabu, nilikuletea taarifa ya October 2017, au pia October ni mbali, kwani njaa inamalizika ndani ya muda gani?, mbona mimi nikikuomba ulete taarifa inayoonyesha kwamba njaa imeisha hutaki kuleta?, ungekuwa kweli wewe una akili nzuri ungepinga taarifa ya zamani kwa mpya, ungesema hii ni taarifa mpya inasema njaa imeisha, mbona huleti unabaki kupinga bila supporting facts?
C.ma2c....niilemnafuatilia news za kenya kama vile senge anamfuatafuata mbuzi on the bad things Na nyie mnazo chungu mzima na on the goodies tunawachapa 60 for nothingl
 
Back
Top Bottom