Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa nini ametumia kisumu kwa background ya twitter?? Ama ni mkenya
kwani wewe unadhani huyo dr. suleh ni wa wa nchi gani?....[emoji23] [emoji23] [emoji23]

soma details vizuri kwenye profile yake ya twitter utajua ni raia wa wapi.

btw anaisifia azam tv mali ya mtanzania[emoji23]
 
Why millions of Kenyans face starvation

Hii ni October, inaungana na hotuba ya mvuta bangi wenu
alichonifurahisha uhuru kenyatta,alipobaini tu kuwa njaa ni issue serious kwa nchi ya kenya,haraka sana ameweka food security kuwa agenda kuu katika priority zake kwa term hii.

hakutaka kuficha maradhi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Angalia umechemsha taarifa ya march na tunaelekea 2018 na uchanguzi ishaa isha..........Bana grow up nataka wa huu mwezi
Hundreds of thousands face hunger in Kenya | Africa | DW | 21.06.2016
Angalia trend ya njaa ilivyo Kenya, hii ni June 2016, idadi ya watu waliokuwa na njaa ilikuwa kwenye laki kadhaa, April 2017 idadi ikafika kwenye millions, hiyo ripoti ya Ochtober 2017 idadi inazidi kuongezeka zaidi...bado unasifia GDP ambayo 62% yake ipo mifukoni mwa watu 8300 pekee..wakenya ni watu wa ajabu sana.
 
Mipovu tuuuu?? Funny Tanzanians they never learn how emoji betray their jealousy and heartbroken emotions.
Goodnight suckers
 
Mipovu tuuuu?? Funny Tanzanians they never learn how emoji betray their jealousy and heartbroken emotions.
Goodnight suckers
unaenda kulala huku ukiwa na hasira.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mipovu tuuuu?? Funny Tanzanians they never learn how emoji betray their jealousy and heartbroken emotions.
Goodnight suckers
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Full desperation, na bado mtazidi kuisoma namba, hatuondoi passport wala working permit, mkitaka kuja huku lazima tuwasumbue na kuwa search hadi kwenye chupi, sisi tukija huko mnatupigia magoti
 
Kenyans are very stupid,
Unakuta jitu halijala siku ya pili Lakini limekomaza Sura Linazungumza Kingereza utadhani limezaliwa Nottingham.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sasa maana ya kuwa na GDP kubwa, lakini masikini ni wengi, nini faida ya GDP?, ni watu kichaa kama wewe anayeweza kusherehekea utajiri wa baba yake lakini nyumbani hawana chakula wala nyumba ya kuishi
Nyie mnafaidi nn na hamna ki2....isipokua dar slum
 
Zidini kuota.coz u depend on kenya media
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Hivi Aljazeera ni Kenya media?, lakini nimekuelewa. Ni vizuri mkaanza kushughulika na vitu vya msingi katika maisha ya binadamu kabla ya kukimbilia flyovers, Tanzania tulishughulika na vitu vya msingi kwanza, vilipokaa sawa ndiyo sasa tunajenga majumba na barabara, ninyi mlianza na barabara na majumba, mkaisahau njaa, sasa inabidi mgeuke mkaanze mwanzo
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Hivi Aljazeera ni Kenya media?, lakini nimekuelewa. Ni vizuri mkaanza kushughulika na vitu vya msingi katika maisha ya binadamu kabla ya kukimbilia flyovers, Tanzania tulishughulika na vitu vya msingi kwanza, vilipokaa sawa ndiyo sasa tunajenga majumba na barabara, ninyi mlianza na barabara na majumba, mkaisahau njaa, sasa inabidi mgeuke mkaanze mwanzo
Sisi hata tukisimama for 20years muezi kutufikia nyie imbeni njaa
 
Nyie mnafaidi nn na hamna ki2....isipokua dar slum
Hatuna njaa wala slums, umasikini ni 22%, unemployment ni 26%, Hospitali zetu ni best katika East and Central Afrika, tunajenga electrical railway, very low level of corruption, no tribalism, very peaceful country, very good public transport system,...nini zaidi unataka?[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Full desperation, na bado mtazidi kuisoma namba, hatuondoi passport wala working permit, mkitaka kuja huku lazima tuwasumbue na kuwa search hadi kwenye chupi, sisi tukija huko mnatupigia magoti
Mnakuja as chokoras na ooombaomba uko embu...c.n ushamba iyo
 
Sisi hata tukisimama for 20years muezi kutufikia nyie imbeni njaa
Ni kweli hatutoweza kufikia kiasi cha njaa, rushwa, ukabila, insecurity, na umasikini wenu, kwasababu trend inaonyesha umasikini Tanzania unazidi kupungua wakati Kenya unaxidi kuongezeka
 
Kenyans are very stupid,
Unakuta jitu halijala siku ya pili Lakini limekomaza Sura Linazungumza Kingereza utadhani limezaliwa Nottingham.
Nyie...mmesoma kiswahili na bado mnatumia uchawi naalbinos na ninafacts
 
Back
Top Bottom