COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Nilidhani akija mido income country ataongea kingereza.Nilidhani akija mido income country ataongea kingereza.
mido ni nini???....
Nilidhani akija mido income country ataongea kingereza.Nilidhani akija mido income country ataongea kingereza.
eleweka wewe unaniambia imeshaisha alaf unaniletea pic ya ujenzi vp???😀😀😀😀Unajua ichoboy n rafiki ya render azidi kuota
Mnabonga kiswahili ndio maana ukikosea tunakurekebishA ..unadhan ungeongea kijaluo ningehangaika kukurekebisha ???kikubwa jukwaa hili linafanya mnaimprove sana kwenye kuongea na kuandika kiswahili safi sana hahahahahaa mtajua tu kiswahil in hard or soft wayMnafuatilia wakenya namjui vile wanabonga....otherwise asante kwa kunikosoa![]()
![]()
![]()
![]()
Unajua ichoboy n rafiki ya render azidi kuota
Issue hapa ni kwamba sisi tulipita kipindi kigumu wakati ninyi mlikuwa mnajenga uchumi, kama tulikua sawa au sio sawa hiyo sio issue, kwahiyo hakuna kutoa sababu za ninyi kufanya vibaya kwa kusingizia Alshaabab2003 tulikua na uchumi karibu same..2017 uchumi wenu umeachwa na 25 billion..where did the rain start beating u
anawasingizia alshabab wakati safari hii 2017 hata watalii 700k hawajafkisha😀😀😀😀😀😀😀Issue hapa ni kwamba sisi tulipita kipindi kigumu wakati ninyi mlikuwa mnajenga uchumi, kama tulikua sawa au sio sawa hiyo sio issue, kwahiyo hakuna kutoa sababu za ninyi kufanya vibaya kwa kusingizia Alshaabab
Hiyo nchi inaporomoka katika sector zote za uchumi, na kila sector wanatafuta sababu ya kuhalalisha kuporomoka kwake, hiyo ni dalili ya nchi kufilisika, hata Greece walianza hivyo hivyo na walikuwa wanatoa sababu kila sikuanawasingizia alshabab wakati safari hii 2017 hata watalii 700k hawajafkisha😀😀😀😀😀😀😀
kipindi gani kigumu..post elections violence,alshabab,raila, etc na bado hamjawai tukaribiaIssue hapa ni kwamba sisi tulipita kipindi kigumu wakati ninyi mlikuwa mnajenga uchumi, kama tulikua sawa au sio sawa hiyo sio issue, kwahiyo hakuna kutoa sababu za ninyi kufanya vibaya kwa kusingizia Alshaabab
usimsingizie raila hio ndio ishara ya ukabia miaka yote ya uchaguzi hua muna vita, kwan alshabab simulitaka wenyewekipindi gani kigumu..post elections violence,alshabab,raila, etc na bado hamjawai tukaribia
Kitu gani mumeizidi Tanzania ukiondoa GDP ya kupikwa?kipindi gani kigumu..post elections violence,alshabab,raila, etc na bado hamjawai tukaribia
kwani Raila ni babako....kenya imepitia mashida kibao..Tanzania imekua na amani na undugu tangu independence na bado ni LDCusimsingizie raila hio ndio ishara ya ukabia miaka yote ya uchaguzi hua muna vita, kwan alshabab simulitaka wenyewe
Kiswahili sio tamaduni yenu babaa...Wachina ni wachina juu hawana kabila lingine vile vile warusi, wajerumani nk nyie mna makabila mengi mbona huzingatii Kisukuma, kihehe, kinyamwenzi nk?Huna exposure. Na bado unamawazo ya kitumwa. Nenda china, russia, German nk kama utaona upumbavu wa namna hiyo. Watu wanatunza tamaduni zao.
shida gani????😀😀😀😀😀😀😀kwani Raila ni babako....kenya imepitia mashida kibao..Tanzania imekua na amani na undugu tangu independence na bado ni LDC
labda nyanyako ndio alipika....Kitu gani mumeizidi Tanzania ukiondoa GDP ya kupikwa?
Nimekuambia jibu hoja ya njaa ya Kenya achana na hilo neno la China of Africa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
....juu yah tower mbili imekua china ....zidini kuota
utafutwa kazi..umeshindwashida gani????😀😀😀😀😀😀😀
Akili yako ni mbovu sana, FDI.. Tanzania inapata $2B kwa mwaka, Kenya inapata $600M..huna data acha kujidhalilisha, kama unabisha lete data inayoonyesha Kenya kupokea FDI zaidi ya Tanzania, tumewaacha kwa mbali sana kwenye FDI, hata Uganda imewapita kwa mbali sana kwenye FDI. Tatizo wakenya hamjui mambo mengi duniani, ndiyo sababu uchumi unaporomoka kwa kasilabda nyanyako ndio alipika....
GDP per capita ndio kusema..nitajie the following;
1.literacy rate(masomo)
2.Life expectacy(good heath care)
3.infrastructure(that can speak for itself)
4.internet penetration(90%)
5.Technology(mpesa mnatumia kwenu)
6.education(4 UNIVERSITIES ARE ABOVE DAR UNIVERSITY))
7.FDI
8.Low infant mortality rate
9.more than 2 times revenue TANZANIA is colleced by KRA
10.kenya is just ahead in all apects