Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tafuta mwenyewe hizi taarifa siko nazo peke yangu, hata wewe ukizitafuta katika website ya WB utazipata, mkiletewa facts mnapotea kimyakimya
Nyie walalas mkishindwa mnakimbia kwa43%......mkiishiwa ama....kama GDP tumewaacha na mbali Bona usenge
 
this goes out to edward wanjala for hating azam tv and other kenyans for underestimating the competence of tanzanians in one way or onother.

congrats to azam tv crew for their plausible work in kenya during
cecafa tournaments.mwenye wevu ajinyonge.

azam tv's digisuper lens shinning in kenya.

88f18b35df6d194e36bf69afa801f669.jpg
935dc2079cad66969309a15f4972a575.jpg


wanjala,wherever you are pole sana...najua roho inakuuma sana huko uliko...
Kwa nini ametumia kisumu kwa background ya twitter?? Ama ni mkenya
 
Wewe utaanza kuokota makopo baada ya kugundua Kenya mumeachwa nyuma katika mambo mengi, suluhisho sio kutoa povu, kaeni chini mjiulize ni kwa jinsi gani mtaweza kurekebisha
1)Utalii wenu uweze kuongeza mapato
2)Ukuaji wa uchumi angalau ufikie 6%
3)Kuongeza uzalishaji wa chakula ili kupunguza njaa, na kupunguza utegemezi wa chakula toka Tanzania
4)Kupunguza kiwango cha unemployment kiwe chini ya 30%
5)Kupunguza rushwa inayozamisha uchumi wenu
6)Kupambana na tribalism
7) Kupambana na insecurity

Achane kujilinganisha na nchi iliyotulia na inayopiga hatua kwa kasi sana, hii ni China ya Africa, peaceful, stable economy growth, no hunger, no tribalism, no corruption, low level of poverty, nani asiyependa kuja kuishi Bongo?
Wewe tafuta jiwe iko na joto ingiza kwa ass yako
 
Nyie walalas mkishindwa mnakimbia kwa43%......mkiishiwa ama....kama GDP tumewaacha na mbali Bona usenge
Sasa maana ya kuwa na GDP kubwa, lakini masikini ni wengi, nini faida ya GDP?, ni watu kichaa kama wewe anayeweza kusherehekea utajiri wa baba yake lakini nyumbani hawana chakula wala nyumba ya kuishi
 
Angalia umechemsha taarifa ya march na tunaelekea 2018 na uchanguzi ishaa isha..........Bana grow up nataka wa huu mwezi
Onyesha taarifa inayoonyesha kwamba hali ya upatikanaji wa chakula imeimarika, japo humuamini Uhuru Kenyatta kwa sababu anavuta bangi, lakini juzi amethibitisha kwamba njaa bado ni janga la taifa huko kwenu
 
Wewe utaanza kuokota makopo baada ya kugundua Kenya mumeachwa nyuma katika mambo mengi, suluhisho sio kutoa povu, kaeni chini mjiulize ni kwa jinsi gani mtaweza kurekebisha
1)Utalii wenu uweze kuongeza mapato
2)Ukuaji wa uchumi angalau ufikie 6%
3)Kuongeza uzalishaji wa chakula ili kupunguza njaa, na kupunguza utegemezi wa chakula toka Tanzania
4)Kupunguza kiwango cha unemployment kiwe chini ya 30%
5)Kupunguza rushwa inayozamisha uchumi wenu
6)Kupambana na tribalism
7) Kupambana na insecurity

Achane kujilinganisha na nchi iliyotulia na inayopiga hatua kwa kasi sana, hii ni China ya Africa, peaceful, stable economy growth, no hunger, no tribalism, no corruption, low level of poverty, nani asiyependa kuja kuishi Bongo?
wow!!..candid analysis.
 
Back
Top Bottom