El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Dar vs Mombasa
hiyo tutafungua nayo 2018.........
Dar vs Mombasa
Umeipenda yani imekuchoma ndaaaani ya roho.Naona umetuandikia barua ya mapenzi😀😀😀
His Excellence Ali Hassan Mwinyi. Ulisahau vipi kutuambia His Excellency alimtembelea Tundu Lissu Nairobi Hospital hivi majuzi? JPM kaogopa kuingia Kenya na kufanya the same juu ya tofauti za kisiasa ama?
Hawana shukran wanafik wakubwa hawa.king of medicine ya mitishamba Tanzania wanafanya nini in our hospitals....lol.wanatutusi na tuliwafufulia kiongozi wao wa upinzani.. ..lol
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naona umetuandikia barua ya mapenzi😀😀😀
Hao ss wakenya tuwajui......fact remain tz ni country na Zanzibar vile vile....beyond that nimuunganoMohamed bilal ni mzanzibari na alikua makamu wa rais
View attachment 650238
Iyo ndio tunaeza pongeza watz na kkuuza binadamu...[emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117]daktari kutoka tanga.....lol....hayo mabango kwa pole za stima huchekesha.
We love you our poor brothers licha ya matusi.....tunawajali sana.....hahaha
Iyo nikudharao msa....dar vs kisumuDar vs Mombasa
Dar ikikamu kenya itarankiwa ya 3ama 4Dar vs Mombasa
Twende Uhuru park tukashuhudie majobless mpuuzi indeed!Wa2 kaa nyie mnafaa kutembezwa Uhuru park ..mkaone maajabu muachane dagaa
Momabasa vs lindiDar vs Mombasa
Kariakoo means baba ndogo slumKariakoo😀😀😀😀😀😀this name always makes me laugh😀😀😀jirani wenzangu nielezeni tafadhali jina hii ilitoka wapi?😀😀
lmfaoNaona umetuandikia barua ya mapenzi😀😀😀
hio ilikua ni info nimepeana. ww chill kwanza. leo nimeshikika na kazi zingineNaona unarudi kule kule. Sifa za kijinga. Nimekutaka unitajie wakenya wanaojulikana kwenye nyadhifa kubwa kubwa duniani. Wewe unaniletea namba. What is the output of kenya to study at Yale University?
Huo ni ujinga bana. Nikutaka unitajie. Na uliomba ruhusa unaenda kujiandaa ndio umejiandaa hivyo?