Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣 🤣 🤣 🤣 Literacy Rate By Country 2024
165.Kenya78.02%
156.Tanzania80.36%
Thanks for Wikipedia.

IMG_0594.png
IMG_0595.png
 
so huyo aliegaragara ni rais au chawa ?😂
Serikali ni watu kwaajili ya watu, Magufuli kupiga magoti ameonesha tafsiri sahihi ya serikali ni ya watu kwaajili ya watu.
Rais ni mtumishi wa raia.
Ila je huyo mama kugalagala kumshukuru rais ni sawa!?
Huo si UCHAWA NA UTUMWA!?
😂😂😂😂😂LAMAMAYEEE
 
Rais apigia magoti inaonesha mtumishi amepigia magoti maboss zake.
Rais ni mfanyakazi wa wananchi.
Je inafanana na yule mama mpuuzi kugalagala na kujichafua eti kumshukuru rais kufanya majukumu yake!??
Kwani hapo amegalagala Kwa mabosi wa nani?
 
Kwani hapo amegalagala Kwa mabosi wa nani
Amegalagala kwa mtumishi mwenzake wa ngazi ya juu(rais).
Unamshukuru vipi rais kwa kutekeleza wajibu wake!??
Kwanini umshukuru mtu kutekeleza wajibu wake??
Kwani wajibu ni ombi!??
Huu upuuzi nchi za wenzetu zilizoendelea huzikuti.
Toa pongezi sio shukurani.
 
Back
Top Bottom