Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuambizane ukweli. Hizi ni silaha gani. Hii display iliyofanywa na Police Tanzania ina maana gani? Hapa ni polisi mkoa wa Tanga

1727167408258.png
 
Toa upuuzi hapa,yaani Kijitu ambacho kilikuwa kinamfadhili Idd Amini kuja kuteka 🇹🇿 kwako ndio unaona Cha maana?

Walichelewa sana kukichinja.Hadi kesho kutwa rafiki Mkuu wa 🇹🇿 ni Algeria sio huyo punguani wa Libya.
Muda mwingine nyamaza kama huna cha kuongea.
Muammar Gaddafi ndiye ambaye alikua anatoa pesa nyingi katika mfuko wa AU hapa Afrika.
Sawa hatukatai alimfadhili Iddi Amini ila 2005 alikiri na kuomba msamaha na kubadilisha mitazamo ya kidiplomasia.
Hio AFDB bank ina hela nyingi za Libya kuliko hiyo Algeria unayoishupalia.
Satellite ya kwanza Afrika pesa alitoa Gaddafi.
Gaddafi kuungana na AU kulimfanya waarabu wenzake wamtenge na kumtoa Arab league ila yeye hakujali.
UCHAWA UMEKUTOA AKILI.
 
Muda mwingine nyamaza kama huna cha kuongea.
Muammar Gaddafi ndiye ambaye alikua anatoa pesa nyingi katika mfuko wa AU hapa Afrika.
Sawa hatukatai alimfadhili Iddi Amini ila 2005 alikiri na kuomba msamaha na kubadilisha mitazamo ya kidiplomasia.
Hio AFDB bank ina hela nyingi za Libya kuliko hiyo Algeria unayoishupalia.
Satellite ya kwanza Afrika pesa alitoa Gaddafi.
Gaddafi kuungana na AU kulimfanya waarabu wenzake wamtenge na kumtoa Arab league ila yeye hakujali.
UCHAWA UMEKUTOA AKILI.
Punguani,kutoa pesa AU kinahusianaje na yeye kusaidia kibaraka Idd Amini kupindua Nyerere?
 
Nadhani tusiangalie kazi gani kafanya tuu Gadaffi kaua sana pamoja na kusupport terrorists na madikteta wengine kama Idi Amin.
Sifa iwe ni kiongozi msafi mpenda amani mwanaharakati mwenye kuheshimu haki za binadamu na demokrasia na pia awe muadilifu asiyefuja hela za serikali.
Pia awe kiongozi mwenye dira na malengo ya kuinua nchi yake.
Gaddafi kufikia 2005 alikiri makosa na kubadilisha diplomasia baada ya jumuiya za kimataifa kumpigia sana kelele.
Gaddafi alibadilika mkuu na kuwa kiongozi bora ambaye baadae alileta mawazo chanya na mchango chanya Afrika.
Msipuuze juhudi zake za yeye kubadilika na kuwa mtu bora.
 
huna akili ww na historia ya africa huijui kenge wewe unafkiri wazungu walimuua kwann kwasababu ya kuwaamsha waafrica wajinga kama wewe akili zilizolala, gadafi kaipambania sana africa kama ulikua hujui alitaka africa iwe na umoja kama europe, iwe na bank yake, iwe sarafu yake, wazungu wakaona huyu anawapa akili makoloni yetu wakamuua haraka sana
Toa ufala wako, walichelewa sana kimchinja huyo Mwarabu wako
20230215_120116.jpg
 
Punguani,kutoa pesa AU kinahusianaje na yeye kusaidia kibaraka Idd Amini kupindua Nyerere?
Bro wewe ni FALA ama ni MPUUZI usiyeelewa!??
Ushaambiwa alikiri kukosea na kuomba jumuiya za kimataifa msamaha.
Je kiongozi anapokiri kosa na kubadilisha mitazamo ya kidiplomasia asipewe nafasi!?
Akili zako zinafikiria nini!??
Are you out of your sanity!??
 
hii itapendeza lakini hata mfumo wa ununuzi ubadilishwe. huu mfumo wa kupitia tms sio kabisa, kuna wakati mnunuzi anajiaanda kuingia mnadani kumbe mnaada ushaaanza kufanyika matokeo yake wanunuzi wengi wanakosa mazao. na tuwe wa kweli kwa mkoa wa kusini ni kampuni za mtu mmoja tu ndo zinapata mzigo. haiwezekani .kuna muda bosi wangu mmoja alitaka kununua zaidi ya tani 650 mnada wa kwanza wa ufuta mkoa wa mtwara ila akaambulia 248tan huku nyingine zaid ya 3000 zikikosa wanunuzi
 
Back
Top Bottom