Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alafu mbona hii BRT Nigeria imekaa jua kali namna hii? Mauchafu barabarani kama kenya, yn Africa bhn hata waweke nn lazima uafrika uonekane, sisi watanzania tumshukuru sn Mungu aisee, tukiweka world class infrastructure lazima ionekane hivyo hata miaka 10 ipite, ona hapa ni ulaya kabisa 👇 👇 View attachment 3104709View attachment 3104711View attachment 3104713View attachment 3104715
Wenzetu sasa picha ya upande upande 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 View attachment 3104718
Uhalisia 👇👇🤣🤣🤣View attachment 3104724
Hayo mataifa ni very corrupt na hufanya vitu substandard. BRT ya Nigeria inampaka matambara kwenye vituo.

1727125773974.png


1727125903362.png


1727125985201.png
 
gadafi kafanya kazi kubwa sana africa mzee aliku tishio kubwa sana kwa wazungu hasa alipotaka africa iungane iwe na bank yake na sarafu yake kama europe, hata satelite ya africa yeye ndio mdau number moja
Toa upuuzi hapa,yaani Kijitu ambacho kilikuwa kinamfadhili Idd Amini kuja kuteka 🇹🇿 kwako ndio unaona Cha maana?

Walichelewa sana kukichinja.Hadi kesho kutwa rafiki Mkuu wa 🇹🇿 ni Algeria sio huyo punguani wa Libya.
 
Back
Top Bottom