It shows how stupid you are. It seems hujui maana ya neno similar.
It shows how stupid you are. It seems hujui maana ya neno similar.
Kako front hadi raha, alafu kuna yule street smart wa Japan, alafu kuna Hustler wa US, wanajiachia kichizi, huwezi kuona Balozi wa nje anajiachia Nairobi, akijaribu ataomba uhamisho next day😂😂Haka Kabalozi ka China ni kambea sana 😂😂
Yeye hajui ana assemble built CKD parts za chassis.We mpuuzi huongei na machizi hapa.
Building equals to manufacturing.
Manufacturing is creating of something from raw material to a useful or finished product.
Assembling is organizing of various finished products to create new finished products.
Narudia tena huongei na machizi humu.
Wakupuuzwa wewe ni tahira.Tena sio engineering tena?😂😂😂 Assembling is Manufacturing pia kama hujui😂😂
Ni Kachawa kazuri sanaKako front hadi raha, alafu kuna yule street smart wa Japan, alafu kuna Hustler wa US, wanajiachia kichizi, huwezi kuona Balozi wa nje anajiachia Nairobi, akijaribu ataomba uhamisho next day😂😂
Hakuna kitu nilikuwa nachukia Airport kama nishuke na mwewe alafu sioni flag bearer yetu badala yake naona upupu wa kaskazini umejaa pale, nilikuwa napata hasira sana na chuki kwa viongozi wangu iliongezeka mara dufu. Sasa hizo ni hadithi za kale, unashuka kwenye world class Airports unakutana na world classy planes zimechill zinasubiri ratiba, ukitoka tu unakutana na BRT moja matata, alafu pembeni kuna viaduct kali ikipeleka gogo la umeme huko katikati ya nchi, hapa ndio unasema it feels good to be home huku ukiwa unamaanisha, na kama uko na mgeni unamwambia karibu bongo huku ukiwa na confidence zimejaa kiroba😅😅miaka inaenda haraka sana 🇹🇿🇹🇿
View attachment 3104943
IMF si ndio wanasaidia kupiga viraka kila siku kosa hao ingeshapasuka toka mwaka juzi. Sasa hivi imebaki viraka vya tia naji tia maji tuu.Hiyo bubble yao tumengoja sana.😂😂
English yenyewe ndio hii tiamajitiamaji unategemea mtu ajue maana ya similar words kweli?🤣🤣🤣You are always a Quack but today you have proven to be an embicile as well, now henceforth i will call an imbecile Quack😂😂
Nadhani tusiangalie kazi gani kafanya tuu Gadaffi kaua sana pamoja na kusupport terrorists na madikteta wengine kama Idi Amin.gadafi kafanya kazi kubwa sana africa mzee aliku tishio kubwa sana kwa wazungu hasa alipotaka africa iungane iwe na bank yake na sarafu yake kama europe, hata satelite ya africa yeye ndio mdau number moja
Hapo si bongo.Hata hauna aibu. 🤣 🤣 🤣 Kama hapo ni bongo nafunga account.
huna akili ww na historia ya africa huijui kenge wewe unafkiri wazungu walimuua kwann kwasababu ya kuwaamsha waafrica wajinga kama wewe akili zilizolala, gadafi kaipambania sana africa kama ulikua hujui alitaka africa iwe na umoja kama europe, iwe na bank yake, iwe sarafu yake, wazungu wakaona huyu anawapa akili makoloni yetu wakamuua haraka sanaToa upuuzi hapa,yaani Kijitu ambacho kilikuwa kinamfadhili Idd Amini kuja kuteka 🇹🇿 kwako ndio unaona Cha maana?
Walichelewa sana kukichinja.Hadi kesho kutwa rafiki Mkuu wa 🇹🇿 ni Algeria sio huyo punguani wa Libya.