Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vumbistan haina estate roads. Zote ni vumbi Hadi kwa mitaa ya Kifahari. Nairobi mitaa yote ina lami at least 50% na Kuna mitaa mingine mingi lami ni 100%. Ndio maana tunawaita Vumbistan.
I see hakuna vumbi hapo


View: https://x.com/Ice_Queeeen/status/1836492399335608584?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1836492399335608584%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=

Mpaka wenu naona kuna Lami safi no Vumbi.




Amka kijana.
 
Watu hawawezi kuhudumia Chinese buses wataweza hizo bus za mzungu? Wanataka kupiga hela za walipa kodi tu.
Sheria kali mbona zinadumu.

1. Marufuku kukimbilia ndani ingia kwa utaratibu.

2. Maximum people per bus.

3. Dreva akiharibu gari na ajira yake itasubiri hadi gari likitegemaa akiharibu maksudi no Kazi, no Pension.

4. Bodaboda kuharibu zile barrier kwenye miundombinu pikipiki inakua confiscated.

5. Bus linatakiwa kufanyiwa check up kila siku.

6. Bus interval inatakiwa kua sheria upungufu wowote wa bus uende sambaba na upungufu wa wafanyakazi wajue.

Itafanya "DART" wajue maslahi yao na kila future inategemea afya za all bus, maana bus moja ikiharibika na wao wanakua affected.

Pia abria kuharibu kitu wanatakiwa kulipia faini.

Mashine za tiketi zikiharibika watumie mishahara yao kutengeneza ikiwa wana uzembe wa check up.

Serikali ilipie tu Checkup na maintenance pale ambapo ni natural not otherwise.

Naamini Bus hazitaharibika ovyo.
 
Kundustan njooni na zile takwimu zenu za kubumba kuhusu Songwe Airport 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DAF_FmINKKG/?igsh=MWhsZTE5eDBpdjk3aw==

My Take: Miundombinu ya Hifadhi ya Ruaha ikikamilika ndege kubwa za Watalii zitatua ,kisha watachukua ndege ndogo kwenda hifadhini Moja kwa Moja au kwenda Iringa Airport au kutumia usafiri wa magari ya Watalii

Taratiiibu utamu unaanza kuonekana.
 
Mikunya itakubishia kama kawaida yao

Screenshot_20240919-123704.jpg
images (21).jpeg
 
Kwa hiyo umekimbilia Kiingereza?

Nini sababu ya kuleta Irzar kwa watengeneza vichwa vya malori kuwa buses?
Maana unavyojibu ni kama hujaelewanninachosema yet Kiko straight forward. Ni dhahiri lugha niliyotumia inakupa changamoto.
 


Hivi hapo huoni lami? Usilazimishe vitu bradhee.😂😂
Halafu nimesema mitaa ya Kenya iliyo na lami kidogo ni 50% na hiyo ni mitaa ya hadhi ya chini kama hii githurai. Meanwhile hapo Vumbistan utapata Mbezi panapokaa matajiri ni vumbi tupu 80%. Nairobi utapataje vumbi kwa mitaa kama Kitusuru? Hiyo ndio tofauti.
 
Nimesema mitaa ya Kenya iliyo na lami kidogo ni 50% na hiyo ni mitaa ya hadhi ya chini kama hii githurai. Meanwhile hapo Vumbistan utapata Mbezi panapokaa matajiri ni vumbi tupu 80%. Nairobi utapataje vumbi kwa mitaa kama Kitusuru? Hiyo ndio tofauti.
We naye kwenda zako bhn more than 95% ya Kenya ni vumbi kushoto kulia.
 
Hilo jina lilikuwa lao, tulikuwa tunaiita vumbistan baadaye NDINDA akawabatiza kundustan na wao ndiyo wakaiga jina la vumbistan lkn ni lakwao kutokana na Nairobi kujaa vumbi everywhere.
Hayo majina yote yao , ndio maana hata wao wanayapenda wanatumia. hata mwenyekiti ichoboy01 anaweza thibitisha 😂

1. Topestan ( pakikauka ni Vumbistan😂)
2. Vumbistan tena
3. KUNDUSTAN ( Msisitizo)
Yaani kule hadi pisi zao zinanuka Vumbi, Utafiriki wanafanya kazi kiwanda cha SUMENTI 😂😂
Na hivi hawana maji ya Kuosha Nyuchi, ni balaa Aisee 😂
 
Hivi hapo huoni lami? Usilazimishe vitu bradhee.😂😂
Halafu nimesema mitaa ya Kenya iliyo na lami kidogo ni 50% na hiyo ni mitaa ya hadhi ya chini kama hii githurai. Meanwhile hapo Vumbistan utapata Mbezi panapokaa matajiri ni vumbi tupu 80%. Nairobi utapataje vumbi kwa mitaa kama Kitusuru? Hiyo ndio tofauti.
Maneno mengi uhalisia tofauti amka
 
Back
Top Bottom