Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Matumizi ya punda kwa usafiri flani pia is a system of transport kilaza.., ama ulitakaje?.., Kuna kupitia air, rail, water, roads.., ambapo punda ni moja wa matumizi, jibwa Koko wewe🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Punda ni outdated means of transportation.
Hii millenial world watu hawatumii punda,labda vijijini ndani ndani huko kubebea maji.
 
Tunazungukwa na nchi 8 then unauliza tutauzia nani bidhaa zetu, you are so stupid. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Huyo jamaa ni FALA sijai ona.
Huwa anaropokaga maneno meeeengiii akili sifuri.
Kama kenya ina surplus kubwa ya mahindi mbona bado WFP inawapelekea misaada?
Na mbona wapo katika list ya nchi zinazohitaji msaada wa chakula!?

Na alivyo fala anakwambia wakiacha wao kununua sijui tutamuuzia nani.
Anashindwa kuelewa Malawi,Congo DR,Burundi, Mozambique kote huko mahindi na mpunga vinaenda.
Kichaa kweli huyo.
 
Mbwa wewe.., kwani hizo nchi zinanunua mahindi na maharagwe kutoka kwenu eti?.., maybe wawe na msimu wa kiangazi ama ukame, which is rare.., pili ni mataifa fukara hawana uwezo wa kununua sizable quantity yenye mabilioni.., mmejibana wenyewe kwa ujinga na uzembe wenu🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣.,
Wewe fala nani kakwambia hatuuzi mazao nje na Kenya na kwa idadi kubwa!??
Unajua Zambia na Malawi tunapeleka kiasi gani cha mazao hayo unaoyataja!?
 
Sama boy 255 I'm back. Chukua hizi ulale nazo fukara hii.πŸ˜‚

IMG_20240911_221445.jpg
IMG_0544.jpeg
 
The SGR carries over 9k pax daily according to TRC DG.
Pasengers number ya mwaka tuu inaichapa Kenyan sgr cumulative passengers numbers tangu ilipoanzishwa.
9000*30*12=3,240,000
Kwa kuongeza tu hapo Bado haijaongezwa ruti ya dodoma ili zitimie jumla trip nane za dodoma
Kwa Kenya kiwango Cha juu kufikiwa Huwa mwez 12 ambako walau 304,000
Na august 270,000
 
Tanzania is bedroom of drug trafficking. Actually in South Africa Tanzanians are known as drug and human traffickers.

1726086343560.jpeg
 
Wewe fala nani kakwambia hatuuzi mazao nje na Kenya na kwa idadi kubwa!??
Unajua Zambia na Malawi tunapeleka kiasi gani cha mazao hayo unaoyataja!?
Tanzania-Kenya Trade: In 2022, Tanzania exported $482M to Kenya. The main products that Tanzania exported to Kenya were Corn ($118M), Petroleum Gas ($36M), and Kraft Paper ($32.4M). Over the past 5 years the exports of Tanzania to Kenya have increased at an annualized rate of 13%, from $262M in 2017 to $482M in 2022.

In 2022, Tanzania did not export any services to Kenya.
Hapo ni kipindi Cha ban ya kuuza mahindi
 
Umeenda kupiga picha kwene gari ya wenyewe. ? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ we all know wewe ni mpanda matatu. Umepiga picha na camera ya simu mbovu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ you are very poor.. probably the poorest person in this forum. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Lile gauni jeusi umeliona, alilopiga picha na wenzake kwenye faivu sitaa oteli?

1726087196801.png
 
Back
Top Bottom