Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Teargas na Kundudwellers wengine. Wanaishi maisha ya movie. Anaweza kabisa kujionesha kuwa ni billionaire, anamilki magari, anaweza vilevile kujionesha kama commando anayeweza kupiga jeshi la watu 1,00,000 kwa ngumi 🤣 🤣 🤣 🤣 Haya ni maisha ya kwenye Movies, maisha ya kwenye uigizaji, siyo real life.

Ndio Maisha ya Kundudwellers wote
 
Iweze kuwa hizi stori za Kinjekitile toka Bongo ni za kweli!? Yaani zile za kujipaka vumbi uzuie risasi!!? Maana Wabongo walahi hamna akili. Mtu wa kupanga foleni, na wakutimua nani abauhakika atapata gari!? La pili kulingana na situation hizi mbili ipi ya ustaarabu, foleni ama fujo!?
Amka kijana toka kwenye ndoto. Dunia inasonga mbele haiwasubilii wakenya. 🤣 🤣 🤣 🤣

Kenyans talk a lot
 
Iweze kuwa hizi stori za Kinjekitile toka Bongo ni za kweli!? Yaani zile za kujipaka vumbi uzuie risasi!!? Maana Wabongo walahi hamna akili. Mtu wa kupanga foleni, na wakutimua nani abauhakika atapata gari!? La pili kulingana na situation hizi mbili ipi ya ustaarabu, foleni ama fujo!?
Kwa hiyo unataka kusema Matatu ikija hapo hawagombanii? Kwa nini mnapenda uongo?

Sasa ngoja niseme...
"Matatu ikija hapo kwanza haisimami...watu wanapanda ikiwa inatembea...makondacta wachafu wanakuja wanapiga miluzi, kelele na bangi juu...kila mtu akiwa ameshikilia mkoba wake vzr hupanda kwa kugombana"

Ni metro matatu pekee watu hupanda kwa order...hapo hujagombaniwa na wapiga debe...
Yaan Nairobi ni typical local African city

Ngoja nilete picha watu wakigombana kuingia kwa matatu...

Mimi nimeishi Nairobi...naijua yote.
Na bado mji una matatizo kibao...kimsingi huwezi linganisha civilization ya Dar na Nairobi
 
Wapo na haki ya kuongea kama binadamu wenzetu. Hata hivyo Rais ameshatoa Tamko Tunasubiri utekelezaji.
very painful bro hasa kwa nchi yenye amani kama tanzania hatutakiwi kufika huku kabisa haya mambo tuwaachie wakenya ambao wana tribalism, siasa zao ni za kikabila lakini sio kwa tanzania tusiruhusu haya mambo kwa sababu yanapandikiza visasi ndani ya vizazi vyetu, hata kama anamakosa ya aina gani tusifike kuuwana kwenye kiza

tukiruhusu mauaji ya upanga basi upanga utatuua sote
 
nilisema mm hii sio picha nzuri kwa taifa
haina afya kabisa kwa taifa

tumekaa kimya watoto wanaibiwa, watu wanatekwa wanateswa na kuuwawa just simple like that, tunapandikiza chuki ya vizazi na vizazi ni hatari sana


View: https://x.com/euintz/status/1833386471174095012?s=46

Hakuna mtu anayefurahia jambo hili. Kumbuka kuna watu walikuwa wanataka ku sabotage Rais wakiwa kwenye nyadhifa. Lazima kujua akina February na wenzake walifurahia kutumbuliwa?

Hapa mzee Butiku anasema Rais ni Mmoja tu na wala siyo wawili au watatu. This is serious statement kumbuka huyu ni moja ya State persons



View: https://www.youtube.com/live/LTs471j6rZI?si=NDWjLd9zN8OPcdQ4
 
very painful bro hasa kwa nchi yenye amani kama tanzania hatutakiwi kufika huku kabisa haya mambo tuwaachie wakenya ambao wana tribalism, siasa zao ni za kikabila lakini sio kwa tanzania tusiruhusu haya mambo kwa sababu yanapandikiza visasi ndani ya vizazi vyetu, hata kama anamakosa ya aina gani tusifike kuuwana kwenye kiza
WAHUNI waliosemwa na Polepole
Hawa ni watu wasiojiweza kifikra walipewa nafasi ya kusimamia taasisi mbalimbali, wengine wakafundishwa uzandiki, mategemeo yao waweze kusikilizwa kila wanachokisema.

Nchi haiongozwi na mawazo ya mtu mmoja tu.

Kwa sababu wameonekana kupwaya na hawana uwezo, wamegeuka kuwa maadui kupitia mtandao waliounganishwa nao wa Uzandiki.

Tunatakiwa to Eliminate them bila huruma.
 
Iweze kuwa hizi stori za Kinjekitile toka Bongo ni za kweli!? Yaani zile za kujipaka vumbi uzuie risasi!!? Maana Wabongo walahi hamna akili. Mtu wa kupanga foleni, na wakutimua nani abauhakika atapata gari!? La pili kulingana na situation hizi mbili ipi ya ustaarabu, foleni ama fujo!?
Nani asiyepanga foleni? Tatizo unapanga foleni katika ustaarabu upi, angalia foleni ya kistaarabu hii sio hiyo yenu ya third world country 👇👇
IMG_20210417_153315_826.jpg
IMG_20210417_152758_793.jpg

Nyie wakenya tumewaacha mbali sana 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Tupo hapa ndio maana kelele zao zinaishia GDP kubwa,sarafu kubwa na magorofa na interchanges.
Ila ukiwaambia leteni miradi ya maana inaowagusa wananchi hawana.
Teargas, hawa ndugu zetu wa kusini wanavituko. Hawajui mbona wao huwekwa kundi la LDC. YAANI HAWANA HABARI MBONA.

NI WAELEZE LEO, VITU VIDOGO VIDOGO (Basic Things) ukipata barabara inatumiwa na mabasi au hata matatu, then hiyo barabara ni main. Kenya huwezi pata Main road hata kama ni Mandera, ama Turkana, inayo pitisha basi ama magari mangine ya abiria iwe haina lami. Hauwezi. Kama wanaushahidi walete tukague.

Lakini Tanzania. Ukifata Iringa hadi Mafinga hiyo barabara pekee iko na lami. Hakuna kwingine. Mikoa na mikoa utatembea hutapata lami. Hizo Iriza huenda zikitumia vumbi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ona hii Tashrifu ikipita Mbewe, 😂😂😂😂.
20240910_105318.jpg

Hata Njombe usidha kuna lami hata moja. Na kuna Airport sasa unashindwa. Hata Dodoma kwenyewe lami unahesabu tu. Unakuja na Burret Train ukishuka unachukua Honda fumbi tena kilomita 10 aisee!!!!
Njombe sasa
Screenshot_2024-09-10-13-19-00-22_4937eb900e197f95da98f502ddfb10e1.jpg
 
Back
Top Bottom