ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,268
Kuna mtu hatokufa? Mbona nyie mlikuwaga mnanitishia humu ndani kisa nakosoa sera za Mzilankende? Unajitoa ufahamu 😂😂😂😂😂Hehehe hamutaki kuulizwa ?? Unless uniambie hao wanaoua watu hawatokufa then hapo nitakuelewa, lakini ikiwa kila muosha ataoshwa anhhh mzeee, kama kuna MTU hatukua nitajie mmoja Tu ingekua uhai unanunuliwa basi kuna watu wangeishi maisha yote
Hii story inachafua image ya nchi Hasa kwenye tourism sector, na foreign issues hususan investments. Watoto wanatekwa ovyo, watu wanatekwa ovyo wanauliwa what is this ??? Kuna kitu gani nyuma ya pazia
Nyie mlikuwaga mnajua hamtakufa au? 😁😁😁😁😁