Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usituletee uchafu hapa. Unatuletea vyuma hapa. Technology ya Board inayotumika kwa sasa ni Fiber Board. Sasa hayo mavyuma chakavu, yanaongeza uzito wa bus kabla halijabeba kitu chochote.
Sikatai. Ila hao wa Fiber huwezi ona walianza mahali!? Wakaanza na zile vyuma na mabati, wakapata Experiences na Capital wakaupgrade!?

OK, sasa wewe furaha yako iko wapi watoto wawenzio huko China na Brazil, wakiunda kitu wanakuuzia kisha unaringa!? Fahari gani ipo hapo!?
 
Sikatai. Ila hao wa Fiber huwezi ona walianza mahali!? Wakaanza na zile vyuma na mabati, wakapata Experiences na Capital wakaupgrade!?

OK, sasa wewe furaha yako iko wapi watoto wawenzio huko China na Brazil, wakiunda kitu wanakuuzia kisha unaringa!? Fahari gani ipo hapo!?
Huko China na Brazil kuna source of material. Nyie material mnapata wapi?
Mpo na Aluminum smelters?
 
Ndo maana nikasema Tanzania hamna akili. Hivi hivi tu ndivo nyie hufikiria. Yaani hata mtoto mdogo aweza fikiria akazidi wewe!? Soma ulichoandika kisha tafakari tena.
Ww thinking and learning capacity yako ni ndogo Sana haya mm nakupa mfano mdogo Sana

Chinese bus 2024 Tanzania unaeza nunua around 450 to 500m

Master fabricator polo G2 MTU WA Kenya ananunua over 600m ksh

Na weka akilini Chinese bus inakua ni modern zaidi na ina kila Aina ya safety za kidunia

Wewe kwa akili yako utanunua bus gani? Au utanunua bus la over 600m kuangalia uzalendo? Wakat hio bus umenunua 600m inabidi ifanye KAZI 4 to 5 yrs ikurudishie pesa ulionunukiwa wakat Chinese bus itakutaka 3yrs kurudisha pesa ulotoa kununua

Au ww unafkiri kwann dunia nzima wanatumia Chinese bus au nyie ndio munaakili zaidi???🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sikatai. Ila hao wa Fiber huwezi ona walianza mahali!? Wakaanza na zile vyuma na mabati, wakapata Experiences na Capital wakaupgrade!?

OK, sasa wewe furaha yako iko wapi watoto wawenzio huko China na Brazil, wakiunda kitu wanakuuzia kisha unaringa!? Fahari gani ipo hapo!?
Tatizo ninyi wakenya hamna akili, huwa mnakurupuka tu ili muonekane na nyie mnaweza, teknolojia ya kuunda gari nyie bado sanaa, kwanza hamna material wala capital ya kufanya hivyo, kama ni assembly plant na sisi pia tunayo na tunatoa trucks za first world countries hata nyie nmesikia mmeanza kununua, sasa hapo nani hana akili. Nenda Google Sinotruck plant in Tanzania utajiona ulivyo bwege.
 
Tatizo ninyi wakenya hamna akili, huwa mnakurupuka tu ili muonekane na nyie mnaweza, teknolojia ya kuunda gari nyie bado sanaa, kwanza hamna material wala capital ya kufanya hivyo, kama ni assembly plant na sisi pia tunayo na tunatoa trucks za first world countries hata nyie nmesikia mmeanza kununua, sasa hapo nani hana akili. Nenda Google Sinotruck plant in Tanzania utajiona ulivyo bwege.
Wanadhani Technology ni maadamano na kupiga kelele kwenye mitandao. Kenya hakuna pesa serious investors kwa sasa hawezi wekeza Kundustan
 
Kama mbele mwanangu ❤️ ❤️ 😘 😘 😍 😍 🇹🇿 🇹🇿 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
20240908_091305.jpg
 
Ila wakenya kweli ni ng'ombe, SASA ww unashangilia nn ikiwa munafanya assemble while everything muna import, au kitu gani munaunda wenyewe kama ni body sheet munaagiza, chassis munaagiza, bolts and nuts munaagiza ,engines munaagiza, dashboard munaagiza, hebu nitajie kitu gani ambacho hakiagizwi kutoka nje 🤣🤣🤣🤣

Alaf hii ndio final product mkenya anapanda humu eti anasafiri 🤣🤣🤣🤣

Zunguka dunia nzima nchi ambazo zimeendelea kama utakuta huu ushuzi, no wonder hata wazungu wanawaona nyinyi kama kondoo

View attachment 3090052View attachment 3090053View attachment 3090054
Bus kama hili hata likilatisha vichochoroni Dar mbele ya traffic halichomoki ni central moja kwa moja kutoka majaliwa.
 
Back
Top Bottom