muhogo_kiks
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,759
- 4,852
Hii sii Kenya mzee....hii ni Qinghai-tibet railway. China huko.Burundian international 🚮🚮🚮
View attachment 3090178
Hii sii Kenya mzee....hii ni Qinghai-tibet railway. China huko.Burundian international 🚮🚮🚮
View attachment 3090178
www.capitalfm.co.ke
Aaah! Elimu ya Tanzania ni kama ina matatizo. Iwe kuelewa kwenu shida!? Unaona mi nikisema Watanzania wanaushamba na wao hutumia akili kidogo mnabisha. Wewe ona hapa🤣🤣🤣🤣🤣Tatizo ninyi wakenya hamna akili, huwa mnakurupuka tu ili muonekane na nyie mnaweza, teknolojia ya kuunda gari nyie bado sanaa, kwanza hamna material wala capital ya kufanya hivyo, kama ni assembly plant na sisi pia tunayo na tunatoa trucks za first world countries hata nyie nmesikia mmeanza kununua, sasa hapo nani hana akili. Nenda Google Sinotruck plant in Tanzania utajiona ulivyo bwege.
Aaah! Elimu ya Tanzania ni kama ina matatizo. Iwe kuelewa kwenu shida!? Unaona mi nikisema Watanzania wanaushamba na wao hutumia akili kidogo mnabisha. Wewe ona hapa🤣🤣🤣🤣🤣Tatizo ninyi wakenya hamna akili, huwa mnakurupuka tu ili muonekane na nyie mnaweza, teknolojia ya kuunda gari nyie bado sanaa, kwanza hamna material wala capital ya kufanya hivyo, kama ni assembly plant na sisi pia tunayo na tunatoa trucks za first world countries hata nyie nmesikia mmeanza kununua, sasa hapo nani hana akili. Nenda Google Sinotruck plant in Tanzania utajiona ulivyo bwege.
Sijui chochote,wewe ingia 18 zao ndio Utajua nini linaendeleaKuna kitu gani kinaendelee nchini hapa ???
ChoiceVariable Una any information about this?
View attachment 3090248
Kitu first world kikiwekwa Kundustan kinabadilika ghafla kinafanana wahusika dakika hiyo hiyo😂. Hili Jiji halina maji ila pabichi pabichi tope tope kila kona hapaeleweki, Watu wanadharaulika hawawekewi hata pa kukanyaga . VUMBISTAN 😂Vumbistan
View attachment 3090177
Aaah! Elimu ya Tanzania ni kama ina matatizo. Iwe kuelewa kwenu shida!? Unaona mi nikisema Watanzania wanaushamba na wao hutumia akili kidogo mnabisha. Wewe ona hapa🤣🤣🤣🤣🤣
View: https://x.com/spana_Konki/status/1832438610018312257?t=D9IM2dg9ZxE-aFXLvc_POw&s=19
Hehehe hamutaki kuulizwa ?? Unless uniambie hao wanaoua watu hawatokufa then hapo nitakuelewa, lakini ikiwa kila muosha ataoshwa anhhh mzeee, kama kuna MTU hatukua nitajie mmoja Tu ingekua uhai unanunuliwa basi kuna watu wangeishi maisha yoteSijui chochote,wewe ingia 18 zao ndio Utajua nini linaendelea
Brother usijiingize katika siasa hizi. Ngoja sisi tukomae na battle hii.Kuna kitu gani kinaendelee nchini hapa ???
ChoiceVariable Una any information about this?
View attachment 3090248
Ila inashtua Sana bro inatuhatibia image ya nchi mambo kama hayaBrother usijiingize katika siasa hizi. Ngoja sisi tukomae na battle hii.
1. Mtu aliyegundua katekwa ni Boniface Jacob
2. Mtu aliyegundua kuuliwa kwakwe ni Boniface Jacob
Ukiunganisha Dots utaona kuna internal issue kwenye vyama vya siasa inaendelea. But hili nalo litapita kama la Chacha Wangwe.