Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yule Waziri wenu aliekuwa anaongea broken na video iko humu ni high school dropout?
Sijui ni waziri mgani unaongelea lakini kama alikuwa na Kiingereza kibovu, naweza kuhakikishia yeye sii golden standard wa Kiingereza hapa Kenya, in fact utapata Wakenya wakimkejeli. Hapo kwenu Kiingereza Cha kuokota ila mnapigia makofi eti yeye ndiye gwiji.🤣🤣
 
Hiyo ni methali, nahau au msemo? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Maana yake ni nini?
Maanake ni, you're too poor to be noticed by China. Relationship between you two is simply china helping you , otherwise there's nothing significant China can gain from you. Kiingereza huwa balaa kwenu, omba msaada ufafanuliwe
 
Sijui ni waziri mgani unaongelea lakini kama alikuwa na Kiingereza kibovu, naweza kuhakikishia yeye sii golden standard wa Kiingereza hapa Kenya, in fact utapata Wakenya wakimkejeli. Hapo kwenu Kiingereza Cha kuokota ila mnapigia makofi eti yeye ndiye gwiji.🤣🤣
Unarukaruka tu. Huyu umesema ni kama dropout huko kwenu. Sasa kama huyu ni dropout huyo Waziri au MP wenu ni level gani? Hunidanganyi chochote na Kiingereza cha Wakenya nishadili nao ndani na nje ya Tz hawana jipya.
 
Unarukaruka tu. Huyu umesema ni kama dropout huko kwenu. Sasa kama huyu ni dropout huyo Waziri au MP wenu ni level gani? Hunidanganyi chochote na Kiingereza cha Wakenya nishadili nao ndani na nje ya Tz hawana jipya.
Sidhani kama Kuna waziri anayeeongea Kiingereza kibovu Kenya. Labda mwana siasa tu. Na mwanasiasa anaweza kuwa mtu yeyote hata yule asiye na masomo, bora una unaweza kuwashawishi wananchi wakupigie kura. Otherwise post hiyo video tuone. Usikuwe unakoroga story zako za jaba unazileta humu kama facts
 
Sidhani kama Kuna waziri anayeeongea Kiingereza kibovu Kenya. Labda mwana siasa tu. Na mwanasiasa anaweza kuwa mtu yeyote hata yule asiye na masomo. Otherwise post hiyo video tuone. Usikuwe unakoroga story zako za jaba unazileta humu kama facts
Sina muda huo. Video ipo humu tafuta. Asilimia kubwa mna Kiingereza kibovu labda mtu ambae hawajui Wakenya ndio anafikiri mnajua Kiingereza.
 
Unarukaruka tu. Huyu umesema ni kama dropout huko kwenu. Sasa kama huyu ni dropout huyo Waziri au MP wenu ni level gani? Hunidanganyi chochote na Kiingereza cha Wakenya nishadili nao ndani na nje ya Tz hawana jipya.
Ukiwaumbua kwenye Kiingereza chao (cha ugoko) wanakuwa wapole kama kuku kamwagiwa maji ya baridi.😎😎😎
 
Back
Top Bottom