Yes, lkn pesa ya Uganda tutaitafuna pia.Uganda tuu ndio anaweza akatufatia kwa mbali na petro dollars zao.
Hii SGR extension ya Kenya itakuwa ya Diesel kama kawaida au ya umeme?
View: https://x.com/moneyacademyKE/status/1831158643758108727?t=psd6PKmwhAmFd2YOEW4z5w&s=19
Gabo is pous!!Gado doing Gado things. 🤣 🤣 🤣
![]()
Tanzania doesn’t assemble any Scania truck or bus.Google inakunyima taarifa
Hebu mention hizo 1000 industries!Mji huu hauna lami ulinganishwe na Thika ambayo ina Over 1000 industries!?
View attachment 3086978View attachment 3086981
Ingekuwa inahit Africa nzima wangekuwa na 500+M views, show me any Bongo song with that views😂😂🤣.Hizo unazoziita simping song ndio zina hit Afrika nzima hadi Ulaya.
Embu nioneshe hit yeyote ya Ukunya inayohit kama Komasava.
Au inayohit kama yope.
Barbara za lami mliombana nazo msamaha.😂😂Acha ubabaishaji,thika ni Kijiji tuu Kwa Mbeya
View attachment 3086967View attachment 3086968View attachment 3086969View attachment 3086970
Have you ever been in tanzania?Tanzania doesn’t assemble any Scania truck or bus.
Akili yako iko sawa kweli?🤣🤣🤣🤣.
Unataka nikuje tanzania hili mniroge?😂😂🤣😂Have you ever been in tanzania?
Ona hii mbusi.Ingekuwa inahit Africa nzima wangekuwa na 500+M views, show me any Bongo song with that views😂😂🤣.
Unataka nikuje tanzania hili mniroge?😂😂🤣😂
Ingekuwa vizuri kusema Amezindua Ufufuaji wa TAMCO. TAMCO ilikuwa ikiunga Scania na ikisaidiana na Kampuni yake nyingne Valmet kule Pugu Road ikitengeneza matrekta wakati wa Nyerere! Kilichotakiwa ni kukifilisi kwa namna ya ajabu kabisa na sasa tunakifufua.kwa uzinduzi tu wako poa
Na mimi je?![]()
View attachment 528159
Rais Magufuli akizindua jiwe la msingi la ujenzi wa Kiwanda cha Uunganishaji matrekta eneo la TAMCO, Kibaha Mkoani Pwani.
View attachment 528158 Rais Magufuli akiwahutubia Wananchi wa Kibaha mara baada ya kufanya uzinduzi wa matrekta eneo la TAMCO Kibaha Mkoani Pwani.
View attachment 528160
Rais Magufuli akizindua matrekta ya URSUS yanayounganishwa katika Kiwanda cha TAMCO Kibaha, Mkoani Pwani.
View attachment 528161
Rais Magufuli akiwasha trekta mara baada ya kuyazindua katika Kiwanda cha TAMCO Kibaha, Mkoani Pwani 21/06/2017.
=====
"Kiwanda ni kikubwa na kinatoa nondo ambazo zinaweza kujenga daraja lolote Tanzania au Ulaya" - Rais Dkt. Magufuli.
"Tanzania tuna chuma, kwa nini tuagize chuma kutoka Brazil au China," - Rais Dkt. Magufuli.
wawekezaji watafute njia ya kutumia chuma cha Tanzania badala ya kuagiza nje ya nchi," - Rais Dkt. Magufuli.
Ajira zianze kwanza kwa vijana wa Mkoa wa Pwani'', - Rais Dkt. Magufuli
"Tunampango wa kujenga barabara kubwa ya lami ya njia sita kutoka Dar mpaka Chalinze," - Rais Magufuli.
Tuvilinde viwanda vyetu, tuilinde amani ya Tanzania na tuchape kazi," - Rais Magufuli.
"Kujenga viwanda ni jambo moja na kulinda viwanda ni jambo la pili ambalo ni muhimu," - Charles Mwijage.
"Mhe. Rais anataka tuwekeze kwenye viwanda ili vijana wa Kitanzania wapate ajira," - Charles Mwijage.
Click to expand...
Yaani njaa mbaya sana,mi nikajua kibabu gani sijuinamwona polepole duh siasa hizi lazima ujitoe ufaham
Valmet (tractors) kutoka Finland ndio walikuja na wazo la kuunda tractors, extension ilikuwa - kwa nini jirani Scania(Sweden) asiundie malori yake hapo pia. Yaliyojiri ni hadithi ndefu (State motors etc)Ingekuwa vizuri kusema Amezindua Ufufuaji wa TAMCO. TAMCO ilikuwa ikiunga Scania na ikisaidiana na Kampuni yake nyingne Valmet kule Pugu Road ikitengeneza matrekta wakati wa Nyerere! Kilichotakiwa ni kukifilisi kwa namna ya ajabu kabisa na sasa tunakifufua.
Click to expand...
namuona wazir...hapo kajibanaaa,Na mimi je?
Na siyo vibaya kupitia hapa Ursus Factory - Wikipedia kupata historia ya Ursus![]()
View attachment 528159
Rais Magufuli akizindua jiwe la msingi la ujenzi wa Kiwanda cha Uunganishaji matrekta eneo la TAMCO, Kibaha Mkoani Pwani.
View attachment 528158 Rais Magufuli akiwahutubia Wananchi wa Kibaha mara baada ya kufanya uzinduzi wa matrekta eneo la TAMCO Kibaha Mkoani Pwani.
View attachment 528160
Rais Magufuli akizindua matrekta ya URSUS yanayounganishwa katika Kiwanda cha TAMCO Kibaha, Mkoani Pwani.
View attachment 528161
Rais Magufuli akiwasha trekta mara baada ya kuyazindua katika Kiwanda cha TAMCO Kibaha, Mkoani Pwani 21/06/2017.
=====
"Kiwanda ni kikubwa na kinatoa nondo ambazo zinaweza kujenga daraja lolote Tanzania au Ulaya" - Rais Dkt. Magufuli.
"Tanzania tuna chuma, kwa nini tuagize chuma kutoka Brazil au China," - Rais Dkt. Magufuli.
wawekezaji watafute njia ya kutumia chuma cha Tanzania badala ya kuagiza nje ya nchi," - Rais Dkt. Magufuli.
Ajira zianze kwanza kwa vijana wa Mkoa wa Pwani'', - Rais Dkt. Magufuli
"Tunampango wa kujenga barabara kubwa ya lami ya njia sita kutoka Dar mpaka Chalinze," - Rais Magufuli.
Tuvilinde viwanda vyetu, tuilinde amani ya Tanzania na tuchape kazi," - Rais Magufuli.
"Kujenga viwanda ni jambo moja na kulinda viwanda ni jambo la pili ambalo ni muhimu," - Charles Mwijage.
"Mhe. Rais anataka tuwekeze kwenye viwanda ili vijana wa Kitanzania wapate ajira," - Charles Mwijage.
Click to expand...
Wameshaona watanzania mazuzu sana.Serekali ya kiki za bajaji hapo tamko tangu enzi ya JK wanaasemble matrekta juzi tu Majaliwa kapita hapo kazindua leo JPM kazindua watakaa mwezi wataona tumesahau waziri wa viwanda atapita kuzindua
Humu wengi ni TEAM MAMVI, wanaombea mabaya tu. Ingekuwa taarifa mbaya ungeona povu hiloHuu uzi wachangiaji sio wengi sana kwa sababu ni jambo positive kwenye uchumi wa nchi, lakini lingekuwa ni jambo negative sasa hivi tungekuwa kwenye ukurasa wa 35.
Manabii wa majanga wamejaa humu. Wao wanasubiri habari za kashfa ziibuke wapate nafasi ya kukejeli, kutukana, kusimanga na maneno meengi ya kitoto na kijinga.Humu wengi ni TEAM MAMVI, wanaombea mabaya tu. Ingekuwa taarifa mbaya ungeona povu hilo
P887ppJPM katika ubora wake
Safiii