Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,887
- 103,752
Kenya is really a ghetto state, high court gani duniani unakutana na huu upumbavu? High court mpaka protestors wanaingia kama chooni na security ipo!
View: https://x.com/AfricanHub_/status/1830979455160090659?t=pQBDbsrfoyC2l90PrNi6_w&s=19
Kwanini hela ya matumizi ya kawaida nyingi kuliko ya matumizi ya maendeleo?Bajeti ya mikopo Kwa wanafunzi Wetu ni bil.787 kama unavyoweza soma hapa Sh787 bilioni zatengwa kukopesha wanafunzi 250,000
Matumizi ya Bunge haya hapa 👇View attachment 3087176
My Take: Tanzania hatuna matumizi ya kipumbavu kama hayo ya kwenu.
Vitu vingine tujaribu kuwa realistic wazee.Ingekuwa inahit Africa nzima wangekuwa na 500+M views, show me any Bongo song with that views😂😂🤣.
Sio kila kitu cha kubishana mkuu, vingine unaacha vipite 😅😅😅😅Ona hii mbusi.
Kwahiyo kitu kihit hadi kiwe na viewers hao youtube??
Kama haija hit kwanini Paris walimuita akafanye show!?
Kama haijahit Jason Derulo ameijuaje na akataka afanye nae remix!?
Nyimbo hadi bar za France Paris inapigwa komasava wewe unasema haijahit!??
View: https://www.instagram.com/p/C_gPdK2IyqX/?igsh=MWpsbHRpeHp3eXVjZg==
My Take: Non MATO ally wa US anasemaje kwani?
Ila we jamaa bhn kwa kulazimisha nyekundu kuwa njano hujambo 😅😅😅😅😅😅😅Hata Stivo Simple Boy ameitwa kuenda kufanya show Dubai yet anaimba tu matope😂😂🤣😂.
Komasava inachezwa Europe because of Jason Derulo, without Derulo hiyo ngoma haingehit😂😂😂.
Diamond ndio alitafuta Derulo and not the other way round😂😂
Nchi maskini hata kurefurbish reli munahitaji msaada kutoka China. 🤣 🤣 🤣 Bongoslum hamna engineers wanaweza kufix reli yani.Huu ujumbe uwafikie Hawa wapumbavu nairobae na huyu NairobiWalker 😂😂😂 vijamaa vilikaza fuvu leo mapema.. kumbe Bongo Ndio mshirika mkubwa wa China kwa nchi za Africa.
Unataka kutueleza kuhusu BJ 50? 🤣 🤣 🤣 🤣Nchi maskini hata kurefurbish reli munahitaji msaada kutoka China. 🤣 🤣 🤣
😂😂😂😂 Teargas bana I like the way unatwist mambo 😂😂😂Hata Stivo Simple Boy ameitwa kuenda kufanya show Dubai yet anaimba tu matope😂😂🤣😂.
Komasava inachezwa Europe because of Jason Derulo, without Derulo hiyo ngoma haingehit😂😂😂.
Diamond ndio alitafuta Derulo and not the other way round😂😂
Nchi zinazoendelea Bado zinatengeneza structures za UtawalaMister ChoiceVariable nimeuliza swali usichukulie tofauti.
Maana imenishangaza kidogo.
Tushamzoea huyoooIla we jamaa bhn kwa kulazimisha nyekundu kuwa njano hujambo 😅😅😅😅😅😅😅
Muda mwingi nimekuwa nikikufuatilia humu unapinga kila kitu, duuhh wewe ni kiboko aisee 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Mmerudi mikono mitupu!Nchi maskini hata kurefurbish reli munahitaji msaada kutoka China. 🤣 🤣 🤣 Bongoslum hamna engineers wanaweza kufix reli yani.
Tinga tinga pia ni kitu ya kufurahia?Issue ni kiwanda cha kulinganisha (assembly),ndiyo mjadala
Mbona ya TRC kutoka jointed kwenda continuous welded tunafanya kazi wenyewe?Nchi maskini hata kurefurbish reli munahitaji msaada kutoka China. 🤣 🤣 🤣 Bongoslum hamna engineers wanaweza kufix reli yani.