Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kipindi mna brag vitu vya kipuuzi kuvaa Kenyan bracelet na jezi Tanzania is Known kama taifa lenye diplomasia kubwa hapa Afrika.
Sio East Afrika bali Afrika nzima.
Ndio maana hata UK wana diwani ambaye ni asili ya Tanzania,tena alihamia UK wala hakuzaliwa na kukulia UK.
Wakati huo huo TZ tuna mama yetu Tulia Ackson rais wa mabunge duniani.
Ninyi hiyo kuvaa bracelet za Kenya sijui kunawaletea faida gani.
Ni sawa na mtu mwenye umaarufu usio na faida.
Tanzanian is not known anywhere.
 
Kijana Abdul hio picha ya mwisho huoni tatizo ???
Mbeya ya Jana sio ya Leo 👇👇
IMG_20240726_183819_066.jpg
IMG_20240726_183619_222.jpg
IMG_20240727_074946_426.jpg
IMG_20240727_072458_650.jpg
IMG_20240727_072230_596.jpg
IMG_20240727_073439_648.jpg
IMG_20240727_071706_539.jpg
 
Back
Top Bottom