Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Collabo ya Adani 🤝 DP world ndani ya dar slum. Alafu wako freshi tu bila kelele. Watanzakundu bana, 😂😂😂
IMG_20240903_152939.jpg
 
Wacha hasira mzee, kama hujaona render labda nikuoneshe tena plz 😅😅😅😅
Hiyo render itajengwa, just like the ones before them which you also shouted 'render' 'render'. Ama nikukumbushe Yale ulisema render mwishowe yakajengwa?
 
kama majengo yanaanguka na madaraja yanaanguka kila siku, unategemea nn?
Ndio maana nimesema mkuu,lile daraja sio tu hatari kwa kukosa vizuizi.
Bali daraja halina ubora.
Tizama hata lami ilopigwa na tizama kando kulivyoanza momonyoka.
Kenya ufisadi utawamaliza.
Yani hapo unaambiwa zimetumika zaidi ya bilioni 20 za kitanzania😂😂😂😂😂.
Embu kuu tueleze what will 20 billion Tsh do in Tanzania and with what quality!??
 
Collabo ya Adani 🤝 DP world ndani ya dar slum. Alafu wako freshi tu bila kelele. Watanzakundu bana, 😂😂😂View attachment 3085832
Ushaambiwa "to run some cargo berths".
Yani kupewa na kuendesha baadhi ya gati.
Chukua hiyo fananisha na Adani kuendesha airport nzima ya JKIA.
Yani TPA Adani akizingua hata kesho tunampokonya gati,aya vipi ninyi!?
 
Back
Top Bottom