Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ushaambiwa "to run some cargo berths".
Yani kupewa na kuendesha baadhi ya gati.
Chukua hiyo fananisha na Adani kuendesha airport nzima ya JKIA.
Yani TPA Adani akizingua hata kesho tunampokonya gati,aya vipi ninyi!?
Kwa bahati mbaya ama nzuri 😂 hizo berth kadhaa ndio backbone ya mizigo yote ya Tanzania
 

Amphibious Medical Tanks​

1725372647322.png
 
Mbongo hawezi fanya hivi.
Ninyi wenyewe na propaganda zenu uchwara.
Most of people bongo huwa hawafuatilii riadha na hawamjui kipchoge.
Dunia ya sasa kutomjua Kipchoge ni sawa na ushamba. World Goat huyo wazungu wanamvulia kofia.
 
Dunia ya sasa kutomjua Kipchoge ni sawa na ushamba. World Goat huyo wazungu wanamvulia kofia.
Wazungu kwasababu wanamfuatilia.
Ila Bongo riadha haifuatiliwi.
Ni kama Lionel Messi alikua hajulikani USA hadi kina David bekham walipoenda kuwekeza kwenye mpira wa miguu USA ndio wakamtambua who messi is.
Hatufuatilii riadha ndio maana.
 
Back
Top Bottom