Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

VIP piruu πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/SouthernBuses/status/1830910658705080620?t=B5XZoYfqsy2YBCw1Z9uHaA&s=19
Screenshot_20240830-090500.jpg
 
Enjoy ,but in the meantime huko kwenu vitu kama hizi ni ndooooto.

Port yenu ilishaenda but hakuna Ata nzi hapo wamefungua mdomo .
Nchi ya Wanawake tupu.
Port gani imeenda? Is it possible kuuzia watu watatu port moja? TPA, DP WORLD, ADANI?

Na uwauzie port alafu uendelee kutumia TANGA PORT (TPA), Mtwara port (TPA) huku ukiwa na mpango na Bagamoyo port.

Kuna kichaa anaweza uziwa akakubali hivyo?

But angalia kwenu mnakatazwa hadi kuendeleza nyingine ili ADANI apate chake kwanza.

Wazee wa Maandamano yasiyo natija zaidi ya kuongeza ego eti democrazy

Usitufananishe na nyie. As we speak kuna ports zinajengwa nchi nzima. Kasome kidogo kuhusu TICS
 
Enjoy ,but in the meantime huko kwenu vitu kama hizi ni ndooooto.

Port yenu ilishaenda but hakuna Ata nzi hapo wamefungua mdomo .
Nchi ya Wanawake tupu.

Huyo ndio alitoka ADANI akaingia japo siafiki kuwapa watu wa nje kuendesha magati, I can't stand you kudai eti imeenda, Anytime tukiona Adani ni Zero anatimuliwa tu.
 

"The most dangerous bridge east and central Africa".πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ.
Halafu hili daraja sio tu ni hatari kwasababu ya kutokuwekwa vizuizi pembeni,bali pia halina ubora,ukilitizama pembeni daraja jipya ila ufa mwingi na limemomonyoka sehemu zingine.
Hili daraja wallahi ikitokea mvua za masika linaondoka na watu.
Linabomoka hili.
Halafu eti kipande hiko tu kimejengwa kwa bilion 1.8 za kikenya,aissshh!!
Kenya wajeni wizi mazeeh utawamaliza.
 
"The most dangerous bridge east and central Africa".πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ.
Halafu hili daraja sio tu ni hatari kwasababu ya kutokuwekwa vizuizi pembeni,bali pia halina ubora,ukilitizama pembeni daraja jipya ila ufa mwingi na limemomonyoka sehemu zingine.
Hili daraja wallahi ikitokea mvua za masika linaondoka na watu.
Linabomoka hili.
Halafu eti kipande hiko tu kimejengwa kwa bilion 1.8 za kikenya,aissshh!!
Kenya wajeni wizi mazeeh utawamaliza.
kama majengo yanaanguka na madaraja yanaanguka kila siku, unategemea nn?
 
Asante Sana DP world , kwa mara ya kwanza kabisa shirika kubwa tanzakundu TPA imekosa pesa za incentives kwa wafanyakazi. Kumbuka wafanyikazi waliambiwa wachague Kama watahamia kwa mwajiri mpya DP ama watabakia kwa TPA. Sasa waliobakia TPA hamna kiinua mgongo huu mwaka. Shirika lililo jengaa magorofa Dar slum leo halina kitu. Kuandamana sio Uzalendo ndivyo wanasemagaπŸ™Œ
IMG_20240903_151456.jpg
 
Back
Top Bottom