President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,771
- 89,793
Unaweza kutuambia ni brand gani mnatengeneza? 😀 😀 😀Si eti tunasema. It's a fact bongolala and you cannot take that fact away. Mtaumia sana ila ukweli itabakia palepale
Unaweza kutuambia ni brand gani mnatengeneza? 😀 😀 😀Si eti tunasema. It's a fact bongolala and you cannot take that fact away. Mtaumia sana ila ukweli itabakia palepale
Nyama Arusha. Wafanyabiashara na wakuu wa mwashirika ya umma
View: https://youtu.be/WhJEMcLIjq4?si=kygjf35i5vJ46NS4
Kwamba hujui yalianza lini? 😂😂😂😂Haya mambo kwann hayana tiba na yameanza lini?? Kuna shida gani nyuma ya pazia
Si ndo maana ujenzi wa viwanja vya Dodoma na Arusha vinasuasua! Mama kasha-divert funds Magufuli style kule Chato airport!
Mama anatumia uzoefu alioupata awamu ya 5 kule Chato 😆😆😆Badala kujenga sehemu potential tunapeleka miradi sehemu ambako hakuna wanamichezo WA mpira 😂😂😂😂😂
Yani naona aibu Sana kwakweli
Acha uchokozi wewe 🤣🤣🤣Mama anatumia uzoefu alioupata awamu ya 5 kule Chato 😆😆😆
Hivi viwanja viko kwenye budget ya mwaka huu ambayo imeanza utekelezaji mwezi wa 7 hivyo hela ilikuwa inasubiriwa toka serikalini ila viwanja vya kizimkazi ni wafadhili wa ndani crdb akiwa mmoja wao.Si ndo maana ujenzi wa viwanja vya Dodoma na Arusha vinasuasua! Mama kasha-divert funds Magufuli style kule Chato airport!
Ugali tuu shida ndio itakuwa nyama!!!!Hii haiwezi kutokea huko kwa manyang'au😎😎
Hiyo projected timeline aliweka nani mkunya?Wakundustan hawaamini sasa hivi Wabongo wanawapa ajira wapeleke remittance kwao😂 kuwekeza mzigo mzito (Refer Taifa gas) na Kununua kampuni zao( Bamburi) eti hawaamini macho yao walidhani labda 2040 huko😂
Wakundustan kuanzia juu hadi Chini wote akili moja. Imagine mkundustan yupo mtandaoni kwa ajili ya Exchange rate anataka aje Bongo na buku lake anunue hadi majengo na Magari yote ya Diamond 😂😂😂😂.
View attachment 3082510View attachment 3082510