ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Si ndo maana ujenzi wa viwanja vya Dodoma na Arusha vinasuasua! Mama kasha-divert funds Magufuli style kule Chato airport!Badala kujenga sehemu potential tunapeleka miradi sehemu ambako hakuna wanamichezo WA mpira 😂😂😂😂😂
Yani naona aibu Sana kwakweli
Hii nchi sasa ilipofikia ni sehemu mbaya sana,tunahitaji mfumo bora wa uongozi na sio kiongozi boraBadala kujenga sehemu potential tunapeleka miradi sehemu ambako hakuna wanamichezo WA mpira 😂😂😂😂😂
Yani naona aibu Sana kwakweli
Yani kuna vitu vinasikitisha kupeleka uwanja mkubwa WA mpira kizimkazi kweli na watu wanashangilia kabisa 🙌🙌🙌🙌Hii nchi sasa ilipofikia ni sehemu mbaya sana,tunahitaji mfumo bora wa uongozi na sio kiongozi bora
Kiongozi anapoingia madarakani anakuta tayari kuna mipango ambayo Mfumo umeshaiweka Ila akiienda kinyume nayo tutamuuliza kwanini anafanya hivyo
Wakenya Tayari washaanza kupata huduma ya Starlink.
View: https://x.com/kigogo2014/status/1829033876565475634